Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,044
- 158,740
Marahabaaa!Sijambo kabisa
Kamoo mama
Marahabaaa!Sijambo kabisa
Kamoo mama
Sasa kikulizacho?😦
Ahsante
Kunauma sana mkuuKukataliwa kunauma sana
PumbavHaya basi mi sina akili bhana
Mpaka huo wakati utakaokuja kuwa tayari kuowa njoo tena hapa tutakwambia.Ooooooy!
Wanang wa Jamiiforums always ndio kimbilio langu
Sasa wadau mwanenu Fene kiukwel napenda sana changamoto za kiakili hivy mara nying nikiwaga na wadau wangu kitaa napendelea mazungumzo yenye ku-challange ubongo (lengo sio kujimwambafy wadau sometimes napendelea pumba vilevile)
Ssa wadau kwakwel hiz pisi kali mpak ssa ninazogumiana nazo zipo least kinoma,
Ukwel ni kwamba napenda nikioa, mke wangu awe ni mwenye kui-challange san akili yangu, awe wise woman, nipate ushaur wa kutosha kutoka kwake
Swali:
1.je hawa wanawake wapo au naidanganya akili yangu?
2.Mbinu zp unavyodhani ni bora kuwapata wanawake wa type hii? (Kwa wakat huo nitakaokuwa tayari)
Jamiiforums home of wise people
View attachment 2015066
Dah🤣🤣🤣Pumbav
Pole sana asee😂Kunauma sana, uschoke kunipa pole
Uko kujisikia ndo upungufu wa akili mkuu...Beauty and brain wapo sema wanajisikia sana
Karibu..
Ahsante sn Mama Pretty