Mimi binafsi, NEC na wengine walio wengi tunaamini kabisa CCM imeshindwa kwa kiasi kikubwa ktk Uchaguzi ulifanyika pamoja na kwamba wanaoneka kuongoza. Nakumbuka kabla ya Uchaguzi tuliwasikia viongozi na watu wengi wazalenda wakiwaasa watanzania kutumia kura yao vizuri na ndivho kilichofanyika. Hivyo napenda kuchukua nafasi hii kuwapongeza watanzania kwa kazi nzuri. Nawatia moyo msikate tamaa, yuko Mungu wa Isaka na Yakobo anaweza yote, yeye hufanya kwa wakati wake. Nawatakia amani na faraja na mtashuhudia jinsi gani Mungu anafanya kazi.
Mbarikiwe.
Mbarikiwe.