Jamani wakubwa humu ndani, mimi mwenzenu napenda kuwa mtaalam wa "Computer maintenance "
Sema sijapitia chuo labda kusoma elimu hii ya computer, lakini naijuia kuitumia kwa kiasi fulani (sio mjuzi sana)
Sasa nawauliza nyie kama wataalamu wa haya mambo nifanyeje ili. Niweze ku-master ujuzi katika kufanya repairment katika "software" pamoja na "hardware"
Karibuni wakuu, nipo serious ushauri wako ni muhimu kwangu
Sema sijapitia chuo labda kusoma elimu hii ya computer, lakini naijuia kuitumia kwa kiasi fulani (sio mjuzi sana)
Sasa nawauliza nyie kama wataalamu wa haya mambo nifanyeje ili. Niweze ku-master ujuzi katika kufanya repairment katika "software" pamoja na "hardware"
Karibuni wakuu, nipo serious ushauri wako ni muhimu kwangu