KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,575
- 8,595
Nimeenda kwenye harambe ya EL ninoma maana watanzania wameonyesha wanamhitaji ni bora sasa CCM mkampa hiyo nafasi kwani vinginevyo mtakuja kujutia kama mkifanya tofauti na muomba M/kiti wa CCM atumie madaraka aliyo nayo kumuachia hiyo nafasi kwanu ni kweli ataiweka hii nchi katika mstari unaotakiwa!Ataweza na anaouwezo.