Yeah man uko sawa. Nimefatilia uzi wake tangu mwanzo ikiwa ni pamoja na michango ya watu humu lakini nikaona imekaa vibaya. Ila nilichofanya ni kupiga moyo konde kwa manufaa yetu wote nikaamua kuja na hizo bunduki.
Hii itawasaidia wengi hasa beginners na wazoefu kujifunza machache,tatizo la wadada walio wengi ni waoga na wakati mwingi wanazani kufanya mazoezi ni kujikomaza au kujiumiza. Pia Tanzania hatuna wataalamu wa kutosha wa kuelimisha masuala ya mazoezi na utumiaji wa vifaa mbadala wa vile vya wenzetu.
Habari mkuu, binafsi nina uzito wa 82kg ni kitambi pia. Nahitaji kukata tumbo vile vile kujazia mikono. Nifanye mazoezi gani ?