Napenda kujulishwa Faida za Bandari ya Bagamoyo kwa upande wa Wachina

Baada ya kusikiliza na kusoma hoja za viongozi wanaotetea na kuunga mkono ujenzi wa bandari ya bagamoyo kuwa ujenzi huo una maslahi na faida kwa watanzania naona ni wakati muafaka viongozi hao wanielimishe ni kwa namna gani wachina watafaidiaka na bandari hiyo na watapata faida gani ili twende sawa.

Ikumbukwe mpaka kufikia january, 2021 china wamejipatia bandari 20 za deep water na viwanja vya ndege. Zambia kwa mfano wameshindwa kulipa uwekezaji uliogharimu $8B kwenye miundombinu ya barabara na kupelekea kupoteza kiwanjancha ndege, shirika la umeme na shirika la utangazaji. Zambia imekuwa nchi ya wachina wanafanya watakalo.

Mfano mwingine ni pakistani, kenya, na sri lanka. Fedha za china zina moto mfano deni la kenya ni SGR yao ambayo mpaka sasa haijaweza kutimiza malengo yaliyo kusudiwa. Kenya waliweka bondi bandari yao ya nchi kavu ya nairobi.

Vp kama kiongozi akikubali mradi huu alafu baadae ukawa floppy atakumbukwa na vizazi vya mbele kama mtu wa namna gani? Miradi ya ufadhili wa china ni kama ina gundu. Mfano ni nchi kama ecuador nao waliingia kwenye mtego wa dola milioni 19 china wamechukua umiliki wa mafuta yao. Djibout wao wanadaiwa dola 590 milioni wameshindwa kulipa road na belt infrastructure.

Ieleweke kwamba Huo uwelezaji ni deni sio bure vp kama tukishindwa kulipa hilo deni? Kuna Ulazima wa bandari hiyo kujengwa?. Je bandari hiyo itapelekea kupungukiwa uwezo wa bandari yetu ya asili ( sisi watanzania mali yetu ni bandari ya dar es salaam) vp bandari nyingine zitakufa kama tanga na mtwara. Je hakuna suluhisho lingine badala ya ujenzi wa bandari ya bagamoyo labda tuingie ubia kupanua bandari ya mtwara yani mchina na mtanzania waingie partership kukuza bandari moja kati ya hizo tatu kubwa.

Kwanini kuna wasiwasi kuwa ujenzi wa bandari hiyo kubwa sana utafanya bandari zingine zife kwa kukosa mizigo na kutokana kuwa na teknolojia ndogo manake wachina wataweka mikazo kuwa mizigo yote inayotoka china ipitie bandari yao ya bagamoyo. Ni wangapi watakao kosa kazi baada ya bandari hizo kufa.

Je kuna viongizi wenye tamaa wanao harakisha ujenzi wa bandari hii ya bagamoyo?

Asante.
Wakikujibu ni shutue mkuu kwa nadikao lako lililoenda shule
 
Huyo 'chige' mlanguzi/Dalali ndiye unayemtolea mfano hapa; tena mpotoshaji mkubwa na mifano yake?

Kuna watu mnazolewa akili kirahisi sana!
Magufuli wamem-exaggerate. Exaggerations to the effect that hakuna kama yeye na kila alilolitenda ama kulikataa ni safi. Kwamba kwa kila maamuzi yake ni sahihi na unquestionable! Kwamba logical yake na maamuzi yake ni the most pro found.

Nimemzungumzia Magufuli kwa sababu kwako ukweli ni Magufuli na Magufuli ndiyo ukweli na hata hili suala la Bandari ya Bagamoyo kwako ndiyo ukweli wako.

Kama ilivyokuwa kwa waamuuzi wa haki, hawaipimi kwa kuwa mtu anaonyesha huruma bali ni kwa kuiangalia haki iko wapi! Magufuli is dear to us, And truth is dear, too. Nay, truth is dearer than Magufuli.

Wewe hata uone ukweli x 1000 bado hutoweza kuuhusudu kwa sababu hauishi kwenye misingi ya ukweli. Kama hauna mafungamano na ukweli hauwezi ukalitambua hili. Yes, this principle is reality in the eyes of those who know reality and have become reality! Kwa ufupi wewe ni mnafiki!
 
Magufuli wamem-exaggerate. Exaggerations to the effect that hakuna kama yeye na kila alilolitenda ama kulikataa ni safi. Kwamba kwa kila maamuzi yake ni sahihi na unquestionable! Kwamba logical yake na maamuzi yake ni the most pro found.

Nimemzungumzia Magufuli kwa sababu kwako ukweli ni Magufuli na Magufuli ndiyo ukweli na hata hili suala la Bandari ya Bagamoyo kwako ndiyo ukweli wako.

Kama ilivyokuwa kwa waamuuzi wa haki, hawaipimi kwa kuwa mtu anaonyesha huruma bali ni kwa kuiangalia haki iko wapi! Magufuli is dear to us, And truth is dear, too. Nay, truth is dearer than Magufuli.

Wewe hata uone ukweli x 1000 bado hutoweza kuuhusudu kwa sababu hauishi kwenye misingi ya ukweli. Kama hauna mafungamano na ukweli hauwezi ukalitambua hili. Yes, this principle is reality in the eyes of those who know reality and have become reality! Kwa ufupi wewe ni mnafiki!
Viatu vya Magufuli hakuna wa kuvivaa kwa miaka 30 ijayo.

Ndiyo maana hata mwaka tu haujaisha bila yeye lakini kila kitu ni hovyo
 
Viatu vya Magufuli hakuna wa kuvivaa kwa miaka 30 ijayo.

Ndiyo maana hata mwaka tu haujaisha bila yeye lakini kila kitu ni hovyo
Ikiwa unalikubali hili kwamba vitu ni hovyo kwa mwenye akili yenye afya njema ni lazima ujiulize, ni kama daktari hauwezi ukautibu ugonjwa pasipo kujua chanzo chake.

Uliwekwa Uzi hapa uliyoonyesha uhovyo mwingi unaousema chanzo chake Magufuli. Uthibitisho mwingi sana umewekwa wala haina haja ya kuurudia. Ila ninyi mnaruka! Sisi tunakubali mazuri yake na tunayakataa mabaya yake.

Nakubaliana na wewe! Kwa mambo ya ajabu aliyoyafanya hakuna wa kuvaa viatu vyake kwa miaka 30 ijayo.
 
Viatu vya Magufuli hakuna wa kuvivaa kwa miaka 30 ijayo.

Ndiyo maana hata mwaka tu haujaisha bila yeye lakini kila kitu ni hovyo
Eti miaka 30 ijayo!

Lile shetani lenu si lilikuwa linasema nchini hakuna kiongozi atayeongoza na kuleta maendekeo kama yeye.

Mkataka mpaka kuliongezea miaka litawale milele.

Kiko wapi

Now limekufa na nchi inasonga tu.
 
Aug-25-13-China-Africa-relationship-and-Loans-.jpg
 
Eti miaka 30 ijayo!

Lile shetani lenu si lilikuwa linasema nchini hakuna kiongozi atayeongoza na kuleta maendekeo kama yeye.

Mkataka mpaka kuliongezea miaka litawale milele.

Kiko wapi

Now limekufa na nchi inasonga tu.

Kuwa mkarimu sana hasa kwa walio tangulia. Huwezi kujua nani atakupokea kumbuka hapa duniani wote tulikuja tukiwa wageni wageni bila hata nguo na kupokelewa na wazazi na ndugu zetu na hivo hivo tukifa tutapokelewa na watangulizi waliotuacha hai na kwenda zao upande wa pili. Be Humble and Smart. Respect the dead.
 
Naunga mkono hoja ya mleta mada,na hao wanaopigia debe huo mradi kuanza wajicommit kabisa,mambo yakiwa si mambo sisi tutakaodhurika tunazaa na vizazi vya uzao wao wote
 
Mkuu Napenda kujulishwa faida wanazopata wachina kwenye uwekezaji wa bandari. Tayari nimesha sikiliza hoja za wanaounga mkono faida upande wa watanzania sasa ni zamu ya china naomba kuelimishwa ni nini wachina watapata kwenye uwekezaji huo wa fedha nyingi sana mpaka naogopa. Hizo fedha ni nyingi sana kwa mtu kama anayejua mtego wa madeni
Mkuu 'Badson', katika hali ya kawaida ningesema haupo 'serious' kuuliza swali kama hilo kuhusu faida watakazopata wachina.
Umesema wewe mwenyewe, kwamba kuna pesa ndefu inayotakiwa hapo, na sina shaka mtu anapokuwa tayari kutoa pesa ni lazima awe ameona manufaa ya hicho anachokitolea pesa.

Ninachoshindwa kuelewa juu ya swali lako hilo, ni 'iweje sasa' ukishajuwa wanachokitafuta wachina hapo Bagamoyo. Haitoshi kusema kwamba wanatafuta biashara? Ili pesa yao wanayowekeza izae maradufu? Sasa utakuja na swali jingine la kutaka kujua ni biashara gani watafanya hapo?
Bandari wakijenga, si ni biashara hiyo? Wakijenga viwanda kwenye eneo hilo na kutuuzia sisi na majirani zetu na kwingine kote, si biashara hiyo?
Halafu utauliza, kwa nini wasitengenezee bidhaa hizo huko kwao na kuleta kuuza huku, napo utahitaji majibu yake, kwamba inakuwa nafuu zaidi kwao kuzalishia bidhaa zao hapa kwa bei nafuu kwa vile watakuajiri wewe na kukupa kimshahara kidogo kuliko watakavyomlipa mchina huko kwao?

Kuna faida gani kwa mchina kuwa na bandari sehemu mbalimbali duniani, hilo ndilo swali lako? Mbona majibu yake yanaweza kuwa mengi sana hata bila kumuuliza mchina mwenyewe atueleze!

Mkuu, sielewi kabisa mantiki ya swali lako.
 
Mkuu 'Badson', katika hali ya kawaida ningesema haupo 'serious' kuuliza swali kama hilo kuhusu faida watakazopata wachina.
Umesema wewe mwenyewe, kwamba kuna pesa ndefu inayotakiwa hapo, na sina shaka mtu anapokuwa tayari kutoa pesa ni lazima awe ameona manufaa ya hicho anachokitolea pesa.

Ninachoshindwa kuelewa juu ya swali lako hilo, ni 'iweje sasa' ukishajuwa wanachokitafuta wachina hapo Bagamoyo. Haitoshi kusema kwamba wanatafuta biashara? Ili pesa yao wanayowekeza izae maradufu? Sasa utakuja na swali jingine la kutaka kujua ni biashara gani watafanya hapo?
Bandari wakijenga, si ni biashara hiyo? Wakijenga viwanda kwenye eneo hilo na kutuuzia sisi na majirani zetu na kwingine kote, si biashara hiyo?
Halafu utauliza, kwa nini wasitengenezee bidhaa hizo huko kwao na kuleta kuuza huku, napo utahitaji majibu yake, kwamba inakuwa nafuu zaidi kwao kuzalishia bidhaa zao hapa kwa bei nafuu kwa vile watakuajiri wewe na kukupa kimshahara kidogo kuliko watakavyomlipa mchina huko kwao?

Kuna faida gani kwa mchina kuwa na bandari sehemu mbalimbali duniani, hilo ndilo swali lako? Mbona majibu yake yanaweza kuwa mengi sana hata bila kumuuliza mchina mwenyewe atueleze!

Mkuu, sielewi kabisa mantiki ya swali lako.

Kwenye trilion 21 ambazo wanawekeza hapo bagamoyo mchina napata kitu gani ndio swali langu ambalo naomba unielekeze mkuu. Au kama hapati faida yoyte ni vyema tukajua kuwa mchina katupa Bure watanzania trilion 21 na pia tukishindwa huo uwekezaji atatusamehe hizo hela.
 
Nimemzungumzia Magufuli kwa sababu kwako ukweli ni Magufuli na Magufuli ndiyo ukweli na hata hili suala la Bandari ya Bagamoyo kwako ndiyo ukweli wako.
Unajidhalilisha sana unapoandika maneno kama haya bila kujiridhisha unayemlenga ni mtu wa namna gani.

Sina haja ya kuendelea na kujibu upuuzi mwingine ulioandika huko chini.
 
Kwenye trilion 21 ambazo wanawekeza hapo bagamoyo mchina napata kitu gani ndio swali langu ambalo naomba unielekeze mkuu. Au kama hapati faida yoyte ni vyema tukajua kuwa mchina katupa Bure watanzania trilion 21 na pia tukishindwa huo uwekezaji atatusamehe hizo hela.
Hivi mkuu unajua kusoma na kuelewa; na kama unajuwa, umesoma niliyoandika hapo kabla ya kujibu kwako tena?
Naona una muda wa kupoteza hapa!
 
Kama ilivyokuwa kwa waamuuzi wa haki, hawaipimi kwa kuwa mtu anaonyesha huruma bali ni kwa kuiangalia haki iko wapi! Magufuli is dear to us, And truth is dear, too. Nay, truth is dearer than Magufuli.

Wewe hata uone ukweli x 1000 bado hutoweza kuuhusudu kwa sababu hauishi kwenye misingi ya ukweli. Kama hauna mafungamano na ukweli hauwezi ukalitambua hili. Yes, this principle is reality in the eyes of those who know reality and have become reality! Kwa ufupi wewe ni mnafiki!
What are you jabbering about? I see no sense in all thisincoherent thinking!
 
Wanafikiri hawa wachina ni walewale wacommunist marafiki wa Nyerere waliojenga TAZARA.

Mwambe katolewa kafara aje arusherushe mkia kwenye kadamnasi halafu ngoma ikifeli anaangushiwa jumba bovu.

Kama huo mradi ni muhimu sana basi turudie utaratibu wa kumpata mkandarasi kama ilivyofanyika kwenye SGR.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Kwanza ni LAZIMA utambue kuwa wazo la kujenga Bagamoyo Port sio wazo la Mchina wala Mu-Oman ni wazo letu na plan yetu kama ilivyoratibiwa na TPA. Sababu za msingi kabisa ni kuendana na mapinduzi ya Bandari duniani ambapo Bandari ya Dar es Salaam haiwezi tena kuhimiri kutokana na position yake. So kama uanzishwaji wa Bandari ya Bagamoyo unaenda kuua Bandari zingine hususani Dar Port basi wakulaumiwa ni sisi wenyewe na TPA yetu kwa kusuggest ijengwe eneo hilo. So role ya mchina na muoman hapa ni kutoa pesa tu kwa kuangalia terms and conditions za namna watakavyorudisha pesa zao. Na huu sio mkopo, ni uwekezaji na ndio maana wao ndio watakuwa waendeshaji kama wawekezaji wengine. So huwezi kusema tukishindwa kulipa watachukua bandari yao kama huko kwingine. Kama hatuzitaki pesa zao au condtions zao basi tukope tujenge wenyewe au tuongeze tozo sababu hii ni project yetu wenyewe sio Mchina. Hili ni la msingi sana kuelewa.
Ili wao weze kurudisha pesa zao na faida ya uwrkezaji wa pesa zao hizo wanategemea nini kutoka kwetu? Ndiyo swali kuu kwenye huu uzi...
 
Magufuli wamem-exaggerate. Exaggerations to the effect that hakuna kama yeye na kila alilolitenda ama kulikataa ni safi. Kwamba kwa kila maamuzi yake ni sahihi na unquestionable! Kwamba logical yake na maamuzi yake ni the most pro found.

Nimemzungumzia Magufuli kwa sababu kwako ukweli ni Magufuli na Magufuli ndiyo ukweli na hata hili suala la Bandari ya Bagamoyo kwako ndiyo ukweli wako.

Kama ilivyokuwa kwa waamuuzi wa haki, hawaipimi kwa kuwa mtu anaonyesha huruma bali ni kwa kuiangalia haki iko wapi! Magufuli is dear to us, And truth is dear, too. Nay, truth is dearer than Magufuli.

Wewe hata uone ukweli x 1000 bado hutoweza kuuhusudu kwa sababu hauishi kwenye misingi ya ukweli. Kama hauna mafungamano na ukweli hauwezi ukalitambua hili. Yes, this principle is reality in the eyes of those who know reality and have become reality! Kwa ufupi wewe ni mnafiki!
Magufuli anaweza kuwa hayuko sawa ila bahati mbaya mirafi yote inayoambatana na wachina na hao wengine Africa inapeleka utetezi kwenyw hoja zake, sasa ninyi njooni na faida atakazo pata mchina ili tupime nani anafaidika vipi na kwa jinsi gani? Swali kuu linahitaji majibu
 
Ili wao weze kurudisha pesa zao na faida ya uwrkezaji wa pesa zao hizo wanategemea nini kutoka kwetu? Ndiyo swali kuu kwenye huu uzi...

Ndio wameweka masharti yao hapo, kama wapewe lease ya miaka 33-99……hii iko kwenye sheria yetu wenyewe na sioni tatito mtu aliyewekeza trillioni karibu 25 alafu asipewe huo muda wakati wewe tu na nyumba yako ya 100 million serikali inakupa lease ya miaka 99. Mambo mengine kama misamaha ya kodi pia yamo kwenye sheria zetu wenyewe.
Suala ambalo mi naona linahitaji majadiliano ni Ugawanyaji wa mapato ya bandari (tofauti na customs duties) ambayo ndio msingi wa uwekezaji wenyewe pamoja na ulinzi wa Bandari ambao kimsingi ni mpaka wetu. Hii ya kusema wamekuja na masharti kichaa ndio ukichaa wenyewe, tuliwaita tukitegemea watupe masharti ya aina gani? Watujengee bure? Tunajua biashara kweli sisi?
 
Back
Top Bottom