Napenda kujulishwa Faida za Bandari ya Bagamoyo kwa upande wa Wachina

Magufuli anaweza kuwa hayuko sawa ila bahati mbaya mirafi yote inayoambatana na wachina na hao wengine Africa inapeleka utetezi kwenyw hoja zake, sasa ninyi njooni na faida atakazo pata mchina ili tupime nani anafaidika vipi na kwa jinsi gani? Swali kuu linahitaji majibu
Hili swali linajibika tena kwa urahisi. Tafuta Uzi wa Chige unaozungumzia Ukweli kuhusu bandari ya Bagamoyo kila taarifa utaipata isiyoegemea upande wowote. Ukumbuke pia ni mradi unaojumuisha nchi 3 (Tanzania, Oman na China).
 
Hili swali linajibika tena kwa urahisi. Tafuta Uzi wa Chige unaozungumzia Ukweli kuhusu bandari ya Bagamoyo kila taarifa utaipata isiyoegemea upande wowote. Ukumbuke pia ni mradi unaojumuisha nchi 3 (Tanzania, Oman na China).
Nimeisoma wala sijaona sehemu anasema wachina watafaidika na 1, 2 zee
 
Baada ya kusikiliza na kusoma hoja za viongozi wanaotetea na kuunga mkono ujenzi wa bandari ya bagamoyo kuwa ujenzi huo una maslahi na faida kwa watanzania naona ni wakati muafaka viongozi hao wanielimishe ni kwa namna gani wachina watafaidiaka na bandari hiyo na watapata faida gani ili twende sawa.

Ikumbukwe mpaka kufikia january, 2021 china wamejipatia bandari 20 za deep water na viwanja vya ndege. Zambia kwa mfano wameshindwa kulipa uwekezaji uliogharimu $8B kwenye miundombinu ya barabara na kupelekea kupoteza kiwanjancha ndege, shirika la umeme na shirika la utangazaji. Zambia imekuwa nchi ya wachina wanafanya watakalo.

Mfano mwingine ni pakistani, kenya, na sri lanka. Fedha za china zina moto mfano deni la kenya ni SGR yao ambayo mpaka sasa haijaweza kutimiza malengo yaliyo kusudiwa. Kenya waliweka bondi bandari yao ya nchi kavu ya nairobi.

Vp kama kiongozi akikubali mradi huu alafu baadae ukawa floppy atakumbukwa na vizazi vya mbele kama mtu wa namna gani? Miradi ya ufadhili wa china ni kama ina gundu. Mfano ni nchi kama ecuador nao waliingia kwenye mtego wa dola milioni 19 china wamechukua umiliki wa mafuta yao. Djibout wao wanadaiwa dola 590 milioni wameshindwa kulipa road na belt infrastructure.

Ieleweke kwamba Huo uwelezaji ni deni sio bure vp kama tukishindwa kulipa hilo deni? Kuna Ulazima wa bandari hiyo kujengwa?. Je bandari hiyo itapelekea kupungukiwa uwezo wa bandari yetu ya asili ( sisi watanzania mali yetu ni bandari ya dar es salaam) vp bandari nyingine zitakufa kama tanga na mtwara. Je hakuna suluhisho lingine badala ya ujenzi wa bandari ya bagamoyo labda tuingie ubia kupanua bandari ya mtwara yani mchina na mtanzania waingie partership kukuza bandari moja kati ya hizo tatu kubwa.

Kwanini kuna wasiwasi kuwa ujenzi wa bandari hiyo kubwa sana utafanya bandari zingine zife kwa kukosa mizigo na kutokana kuwa na teknolojia ndogo manake wachina wataweka mikazo kuwa mizigo yote inayotoka china ipitie bandari yao ya bagamoyo. Ni wangapi watakao kosa kazi baada ya bandari hizo kufa.

Je kuna viongizi wenye tamaa wanao harakisha ujenzi wa bandari hii ya bagamoyo?

Asante.
Kwa nini Mchina tu na siyo Muomani?.
 
Mpumbavu kweli wewe. Hujui kama bandari inachangia pato la taifa ili kujenga uchumi wa nchi!

Ni fedha kiasi gani tunazikosa pale ambazo zingetumika kwa ajili ya kuletea watu maendeleo na unafuu wa maisha!?? Huduma za jamii, ajira, na mambo kibao!

Leo wachina wanajenga pale kisha waitumie bandari kwa MIAKA HAMSINI ndipo wawaachie ninyi! Hakuna TRA kukanyaga pua lake pale!

Mapato na pesa zote za bandari zinakusanywa na wachina kwa miaka hamsini! Wewe utakuwepo? Utakuwa umeshajifia huko makaburini kwa maradhi sugu huku umekiacha kizazi kisicho na hatia kwenye umasikini mzito wa kujitakia.

Just die you fool. Ni heri ufe kuliko kuandika upuuzi mitandaoni.

Ati kwani kuna hasara gani!! Hiiiiiii...... rafiki, are you mentally fit?

Hii mitandao ya kijamii lazima iwe na namna ya kudhibiti wagonjwa wa akili wanaomiliki smartphones.

There must be a psycho test before owning a gadget or joining a social medium.
Bandari inajengwa no matter what.Alafu kwa nini ajadiliwe Mchina pekee wakati pia kuna Muomani?.
 
Mpumbavu kweli wewe. Hujui kama bandari inachangia pato la taifa ili kujenga uchumi wa nchi!

Ni fedha kiasi gani tunazikosa pale ambazo zingetumika kwa ajili ya kuletea watu maendeleo na unafuu wa maisha!?? Huduma za jamii, ajira, na mambo kibao!

Leo wachina wanajenga pale kisha waitumie bandari kwa MIAKA HAMSINI ndipo wawaachie ninyi! Hakuna TRA kukanyaga pua lake pale!

Mapato na pesa zote za bandari zinakusanywa na wachina kwa miaka hamsini! Wewe utakuwepo? Utakuwa umeshajifia huko makaburini kwa maradhi sugu huku umekiacha kizazi kisicho na hatia kwenye umasikini mzito wa kujitakia.

Just die you fool. Ni heri ufe kuliko kuandika upuuzi mitandaoni.

Ati kwani kuna hasara gani!! Hiiiiiii...... rafiki, are you mentally fit?

Hii mitandao ya kijamii lazima iwe na namna ya kudhibiti wagonjwa wa akili wanaomiliki smartphones.

There must be a psycho test before owning a gadget or joining a social medium.
Bora umemjibu mkuu kuna watu wengine sijui wakati wanaandika huwa wameweka bhang kichwani hata kufikria hamna
 
Wachina sio wajinga, huu ni mkakati wa kiuchumi kwao na wameamua hivyo ili wamiliki na kuhodhi ardhi ya nchi nyingi duniani

Wanahonga kama hawana akili na viongozi wamepata viwewe kwa dau wanalowekewa mezani kwa kusaini mikataba

Kuna wazee waliwauza babu zetu kwa wakoloni kwa pipi
Wala sintashangaa kama hutapata majibu
Na ukitegemea mtetezi nae kapozwa hata kwa nyumba tatu mjini

Hiyo bandari imeenda tusubiri watauza nini tena
 
Baada ya kusikiliza na kusoma hoja za viongozi wanaotetea na kuunga mkono ujenzi wa bandari ya bagamoyo kuwa ujenzi huo una maslahi na faida kwa watanzania naona ni wakati muafaka viongozi hao wanielimishe ni kwa namna gani wachina watafaidiaka na bandari hiyo na watapata faida gani ili twende sawa.

Ikumbukwe mpaka kufikia january, 2021 china wamejipatia bandari 20 za deep water na viwanja vya ndege. Zambia kwa mfano wameshindwa kulipa uwekezaji uliogharimu $8B kwenye miundombinu ya barabara na kupelekea kupoteza kiwanjancha ndege, shirika la umeme na shirika la utangazaji. Zambia imekuwa nchi ya wachina wanafanya watakalo.

Mfano mwingine ni pakistani, kenya, na sri lanka. Fedha za china zina moto mfano deni la kenya ni SGR yao ambayo mpaka sasa haijaweza kutimiza malengo yaliyo kusudiwa. Kenya waliweka bondi bandari yao ya nchi kavu ya nairobi.

Vp kama kiongozi akikubali mradi huu alafu baadae ukawa floppy atakumbukwa na vizazi vya mbele kama mtu wa namna gani? Miradi ya ufadhili wa china ni kama ina gundu. Mfano ni nchi kama ecuador nao waliingia kwenye mtego wa dola milioni 19 china wamechukua umiliki wa mafuta yao. Djibout wao wanadaiwa dola 590 milioni wameshindwa kulipa road na belt infrastructure.

Ieleweke kwamba Huo uwelezaji ni deni sio bure vp kama tukishindwa kulipa hilo deni? Kuna Ulazima wa bandari hiyo kujengwa?. Je bandari hiyo itapelekea kupungukiwa uwezo wa bandari yetu ya asili ( sisi watanzania mali yetu ni bandari ya dar es salaam) vp bandari nyingine zitakufa kama tanga na mtwara. Je hakuna suluhisho lingine badala ya ujenzi wa bandari ya bagamoyo labda tuingie ubia kupanua bandari ya mtwara yani mchina na mtanzania waingie partership kukuza bandari moja kati ya hizo tatu kubwa.

Kwanini kuna wasiwasi kuwa ujenzi wa bandari hiyo kubwa sana utafanya bandari zingine zife kwa kukosa mizigo na kutokana kuwa na teknolojia ndogo manake wachina wataweka mikazo kuwa mizigo yote inayotoka china ipitie bandari yao ya bagamoyo. Ni wangapi watakao kosa kazi baada ya bandari hizo kufa.

Je kuna viongizi wenye tamaa wanao harakisha ujenzi wa bandari hii ya bagamoyo?

Asante.
Umenena kweli. Mbona watu wamekazana sana na bandari hiyo? Uganda wachina wameshachukua uwanja wa Entebe kwa ajili ya deni. Tamaa zitatuuua
 
Back
Top Bottom