Jamani naomba majina ya wabunge wa ccm waliokuwa bungeni kipindi hii mikataba ya madini ilipopelekwa bungeni na kupitishwa, kwa anayefahamu baadhi yao watajwe hapa tuwajue.
Huyo anayechonga mdomo kama kuku na kujifanya anamachungu na rasilimali za taifa hata yeye alikwepo kipindi hicho mikataba inapitishwa...huyu mzee ni mnafiki sijawahi ona
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.