Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ni muhimu kwa ulinzi wako na familiaNatamani sana kumiliki hiyo bidhaa, lakini nafikiri nipo huru na sijafungwa kwa sababu sina bastola. Nimeamua nisiwe nayo kabisa
Okay I willKuna uzi humu upo unaeleza A to Z, ila kuna baadhi ya taratibu zimebadilika, search utaupata huo uzi
Bastola muhimu sana, asikwambie mtu. Ukiwa nayo unakuwa na extra power you can go anywhere and at anytimeNatamani sana kumiliki hiyo bidhaa, lakini nafikiri nipo huru na sijafungwa kwa sababu sina bastola. Nimeamua nisiwe nayo kabisa
Mkuu ni muhimu kwa ulinzi wako na familia
Bastola muhimu sana, asikwambie mtu. Ukiwa nayo unakuwa na extra power you can go anywhere and at anytime
Ndio maana unatakiwa kupitia hatua mbalimbali na kati ya vigezo vinavyozingatiwa sana, ni utimamu wako wa kisaikolojia. Hii statement yako pekee, ni kiashiria kuwa huwezi kumudu kumiliki chombo cha moto.Ni kweli mkuu, vilevile unaweza kujikuta umeitumia pasipostahili hasa kwenye jamii iliyojaa watu wasiojielewa....
Ndio maana unatakiwa kupitia hatua mbalimbali na kati ya vigezo vinavyozingatiwa sana, ni utimamu wako wa kisaikolojia. Hii statement yako pekee, ni kiashiria kuwa huwezi kumudu kumiliki chombo cha moto.
Uvunjifu wa sheria unaofanywa na mtu mwingine, hauhalalishi wewe kuvunja sheria au kutokufuatwa kwa kanuni na taratibu zinazostahili.Nikuulize kama hizo taratibu na vigezo vinazingatiwa na hivivunjwi, Ditopile (Alazwe panapo stahili) alimiliki kihalali au alivuka baadhi ya vigezo?
Siwezi kumiliki silaha kwa sababu kwa sasa bado sijakomaa kiasi cha kuvumilia kiasi kikubwa cha ujinga. With time, ntakua sawa huenda nikawaza au kufukiria kumiliki silaha.
mkuu upo vizuri iyo silaha inagharimu kiasi gani?Ukiona urasimu bongo mkubwa kama ilivyo jadi,sema nikupe bastola ya kijadi.Haina usajili,leseni haina wala hakuna atakayejua kama unayo.Bastola hiyo ni kwa ajili ya kuzuia wezi tu si kuua wala kwenda kuibia.
Ni kimti fulani unaweka home kwako basi,wezi wakija nyumba hawaioni basi,kama una mshiko mkubwa,basi unanusa kijiti chako,vibaka/wezi hawakuoni.Hizo za kisasa balaa.
£50 unapata semi-pistol maeneo haya. Kama jamaa kachacha hata £20. Tunaita asante kosovo.
Personally, I believe a man who walks around with a gun/knife is a pussy!! Seen guys in bongo who are happy to flash it. Yeah, that makes you a man now huh?
Kama unaitumia kwa self-defence nyumbani poa. Ila wife (au binti) asikosee tu siku moja akaji-hairdry mabutu!!
Kila la heri katika jitihada zako za kulijinda wewe na familia yako pia na mali zako. Ombi moja tu ukiipata basi uwe makini sana mahali unapoiweka ili isije ikasababisha madhara makubwa ndani ya familia yako.