Napenda kuishi sehemu yenye mji mdogo ila sio jiji kubwa au bush

Mbwa wote hao wewe ni mhehe!?
Mbwa urembo
Mbwa ulinzi
Mbwa rafiki
Mbwa biashara

Tuacheni Mbwa aitwe mbwa uwezo wa kuwalisha ukiwepo hata 100 na zaidi ntafikisha ila malengo makuu yakuwafuga yakiwa mawili

1.Ulinzi
2.Biashara

Ndio mana sitaki kukaa huko mjini nahitaji kule nnje ya mji kbsa niwe mimi na mifugo yangu TU.
 
Mpanda Katavi pisi za kutosha mtaa wa simba mtaa fisi gambe kama kawa Ngawira zipo kamji hakaboi .....kama Texas hahaha missing sana huko..
 
Yani hata nikiendaga Dar basi nakaa siku 3 tu, siku ya kwanza nafika, ya pili nafanya kilichonipeleka, ya tatu ndukii, kasoro labda kama kuna uhitaji wa kukaa zaidi.

Napenda kuishi miji midogo ama kama ni jiji basi iwe miji midogo nje ya jiji,

Napenda sehem iwe nimezungukwa na mimea zaidi, pawe tulivu, Pawe pia na majirani angalau na kuwe na umeme, internet na huduma nyingine za jamii.

Mfano wa maeneo uwe kama mafinga maeneo ya iringa, tukuyu, singida ile ya naje kidogo na mjini, na sehem nyine kama zenye mifanano hiyo.
Sijawahi kumiss mkoa wowote Tz zaid ya viwanja mbali mbali vya hapa mjini,


Nikipataga safari nje ya Dsm huwa naumwa kabisa...japo nishafanya michongo kadhaa kwa mikoa kadhaa ,sijawahi ku-enjoy mazingira na wala si-miss chochote zaid ya moment za washkaji,

To live n die in Dar, period
 
sehemu yoyote ambayo naweza kupata mahitaji yangu muhimu kwa haraka na wepesi kama chakula, umeme, maji, miundombinu safi ya barabara na kituo cha kutoa huduma za afya, kwangu ni poa sana.
 
Njooni Dom huku hatufukuzagi wageni hata wasipo kuja na USAAJE
Dom pamekaa kimasikin sana , kunaboa mavumbi ukame na jangwa jua kal kupauka tu
Panalazmishwa kua sehem bora ila ni kupotezeana muda tu
Singda is the best
 
Sijawahi kumiss mkoa wowote Tz yoyote zaid ya viwanja mbali mbali vya hapa mjini,


Nikipataga safari nje ya Dsm huwa naumwa kabisa...japo nishafanya michongo kadhaa kwa mikoa kadhaa ,sijawahi ku-enjoy mazingira na wala si-miss chochote zaid ya moment za washkaji,

To live n die in Dar, period
Mikoan huko bado sana hawana kashkash kama za dar abds kidog mwanza na arusha kulkobak ni majanga tu
Kwa baadh yetu tumeumbiwa sehem inayochangamsha akil kila wakat, sio unaamka asbh had jion hujapata changamoto yoyot
 
We ni wale mnaopenda kujulikana na wengi, yaan unataka ukae sehem upatawale, uwajue watu wakujue.

Kwa wale busy na mambo yao hawawezi kuchagua size ya mji, yeye atajiangalia yeye anaishije na anafanya nini kwenye huo mji. Wengine siyo kazi yake. No kujuana juana kufuatiliana fuatiliana..
Umezungumza ukwel kabisa, changamoto za kwenye hii miji midogo ni maisha ya kufatiliana. Nilipangiwa kituo cha kazi ktk mji mdogo flani upo ktk mkoa flani kanda ya kati yani aisee kuna maisha ya kufatiliana sijapata kuona, kuna jamaa yangu nilikuwa naishi nae nyumba moja alinunua gari basi ile siku aliyokuja na gari ilikuwa usiku around saa 2 hivi akitokea Dar wakati anakuja nayo nyumbani kuna jamaa wa bodaboda akawa anamfatilia kwa nyuma mpaka home sasa baada ya kushuka yule jamaa wa bodaboda bila haibu anamwambia jamaa nilikuwa naifatilia hii gari nijue ni ya nani!!!!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Yani upuuzi ulio pindukia.
 
Umezungumza ukwel kabisa, changamoto za kwenye hii miji midogo ni maisha ya kufatiliana. Nilipangiwa kituo cha kazi ktk mji mdogo flani upo ktk mkoa flani kanda ya kati yani aisee kuna maisha ya kufatiliana sijapata kuona, kuna jamaa yangu nilikuwa naishi nae nyumba moja alinunua gari basi ile siku aliyokuja na gari ilikuwa usiku around saa 2 hivi akitokea Dar wakati anakuja nayo nyumbani kuna jamaa wa bodaboda akawa anamfatilia kwa nyuma mpaka home sasa baada ya kushuka yule jamaa wa bodaboda bila haibu anamwambia jamaa nilikuwa naifatilia hii gari nijue ni ya nani!!!!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Yani upuuzi ulio pindukia.
Huo mji mdogo kama siyo Kondoa sijui
 
Miji midogo umbea mwiingii na kufatiliana afu pisi Kali mbili tatu mnagombea,tunaishi huku basi tu hata huduma za kijamii kwa ufinyu
 
Dom pamekaa kimasikin sana , kunaboa mavumbi ukame na jangwa jua kal kupauka tu
Panalazmishwa kua sehem bora ila ni kupotezeana muda tu
Singda is the best
Mkuu Ni rahisi kutoboa Dom kuliko SINGIDA.Ugumu uliopo Tabora ndo uliopo Singida.
N:B UNAWEZA TOBOA KUPITIA SINGIDA UKIWA DODOMA. Takwambia kwanini ukipenda PM
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom