Habari zenu wadau, nilikuwa na ombi kwa wadau ambao wanafahamu hasa Tanzania law society waje hapa watudadalie kazi za hiki chombo na mamlaka yake kisheria ni yepi
Vile vile watueleze kwanini watawala hawataki chombo hiki kiongozwe na mtu kutoka chama cha siasa cha upinzani.
Nmebaki najiuliza kuhusu powers za Rais wa TLS katika Nchi yetu hii pendwa, sipati jibu, pamoja na majukumu mbali mbali ya TLS na pamoja na influence ya Rais wa TLS katika masuala ya kisheria hapa nchini lakini bado sijawahi kuona wala kusikia uchaguzi wa TLS uliofuatiliwa na watanania wengi kiaasi hiki!
Nilichokiona Serikali yenyewe imefanya kosa ambalo hawakulijua la kumpaisha Lisu both kisiasa na as a person. Maana zile kauli za kutaka kufuta TLS mara kuwa Fulani asichaguliwe zilichochea wengi kutaka huyo mtu achaguliwe, and in the other hand kumpaisha jamaa. Hivyo Serikali bila kujua ilifanya kumpigia kampeni jamaa na akapeta kiulaini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.