Napenda kuifahamu Tanganyika Law Society(TLS)

Naomba kufahamishwa ni ushawishi gani ilionao TLS serikalini hadi viongozi wa serikali kupay tension yakufatilia uchaguzi wa viongozi wake
 
Washeria watanganyika mumeitendea haki tanganyika kuipa kiongozi anaeweza kuisemea tanganyika ..maana mm ninashangaa kuona tanganyika haipo na ilihali zanziba ipo
 
we ndio mshamba kweli. hivi unajua kesi zote mahakama kuu hasa hizo za murder etc ili ziendelee mahakama kuu lazima ziwe na wakili wa kujitegemea? bila wakili wa kujitegemea kesi inasimama palepale haiendelei, na ni serikali inalazimika kuwalipa hawa mawakili wa kujitegemea ili kuendesha kesi? ulishawahi kufika mahakamani wewe? ulishawahi kufikishwa polisi au mahakamani? siku ukifikishwa mbele ya pilato utakuja kuitapika hii kauli yako hakika. utawakumbuka wanasheria, na watakapokusaidia ushinde kesi ambayo pengine ni umebambikwa tu (kwasaababu ya chuki za kibiashara au za kisiasa)...utawashukuru. unaongea haujui ili yakikukuta utakuja kuelewa. hao wanasaheria wanao uwezo kugoma kabisa wasiendeshe kesi mahakama kuu, na serikali itapiga goti kuwaomba.

kwasababu kwa kawaida huwa wanajitolea tu kuisaidia serikali kesi ziende, wasipoenda huwezi kuwafanya kitu kwasababu kwanza wamesoma na wanalipa kodi kwenye lawfirm zao na huwezi kuwalazimisha wafanye kitu wasichokitaka, ni biashara kama biashara zingien tu.
wanasheria ni muhimu...lakini chama chao TLS ndio hakina umuhimu wowote
 
wanasheria ni muhimu...lakini chama chao TLS ndio hakina umuhimu wowote
hakina umuhimu kwako kwasababu wewe sio mwanasheria. utakionaje cha muhimu wakati wewe sio mwanasheria na sio member? halafu pia, stolla yule rais aliyepita kabla ya huyu wa juzi, unajua alikuwa ni kada mkubwa wa ccm? mbona hamkulalamika alipokuja kada wa cdm macho yamewatoka? sasaivi wanasheria woote wamesimama pamoja, tunao uwezo hata kugoma kujitolea kuwatetea serikali ikituomba, tukabaki na biashara zetu za sheria tu, tutahudumia wale tu wanaotoa hela.hujawahi kushitakiwa ndio maana haujui umuhimu wetu. kuna siku utakuja kutulamba viatu.
 
Back
Top Bottom