wanasheria ni muhimu...lakini chama chao TLS ndio hakina umuhimu wowotewe ndio mshamba kweli. hivi unajua kesi zote mahakama kuu hasa hizo za murder etc ili ziendelee mahakama kuu lazima ziwe na wakili wa kujitegemea? bila wakili wa kujitegemea kesi inasimama palepale haiendelei, na ni serikali inalazimika kuwalipa hawa mawakili wa kujitegemea ili kuendesha kesi? ulishawahi kufika mahakamani wewe? ulishawahi kufikishwa polisi au mahakamani? siku ukifikishwa mbele ya pilato utakuja kuitapika hii kauli yako hakika. utawakumbuka wanasheria, na watakapokusaidia ushinde kesi ambayo pengine ni umebambikwa tu (kwasaababu ya chuki za kibiashara au za kisiasa)...utawashukuru. unaongea haujui ili yakikukuta utakuja kuelewa. hao wanasaheria wanao uwezo kugoma kabisa wasiendeshe kesi mahakama kuu, na serikali itapiga goti kuwaomba.
kwasababu kwa kawaida huwa wanajitolea tu kuisaidia serikali kesi ziende, wasipoenda huwezi kuwafanya kitu kwasababu kwanza wamesoma na wanalipa kodi kwenye lawfirm zao na huwezi kuwalazimisha wafanye kitu wasichokitaka, ni biashara kama biashara zingien tu.
kwa hiyo TLS ni kijiwe cha kupigia porojo tuFaida za Wakili ndizo faida za TLS. TLS ni forum tu ya Mawakili. Propaganda zenu zimekufa kifo cha mende. Bure kabisa!
Jisaidie ukalale,hujui lolote mbumbumbu wewe!kwa hiyo TLS ni kijiwe cha kupigia porojo tu
Hebu punguza kufikiri kwa viungo vingine,tumia kichwa bintiwanasheria ni muhimu...lakini chama chao TLS ndio hakina umuhimu wowote
hakina umuhimu kwako kwasababu wewe sio mwanasheria. utakionaje cha muhimu wakati wewe sio mwanasheria na sio member? halafu pia, stolla yule rais aliyepita kabla ya huyu wa juzi, unajua alikuwa ni kada mkubwa wa ccm? mbona hamkulalamika alipokuja kada wa cdm macho yamewatoka? sasaivi wanasheria woote wamesimama pamoja, tunao uwezo hata kugoma kujitolea kuwatetea serikali ikituomba, tukabaki na biashara zetu za sheria tu, tutahudumia wale tu wanaotoa hela.hujawahi kushitakiwa ndio maana haujui umuhimu wetu. kuna siku utakuja kutulamba viatu.wanasheria ni muhimu...lakini chama chao TLS ndio hakina umuhimu wowote