Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,641
- 6,805
Kuoa sio umuri wala pesa bali ni muda, muda huongea zaidi. Ikifika muda muafaka wa kuoa basi haijalishi una umuri gani wala pesa kiasi gani ila utayari wa kuingia ktk ndoa na kuunda familia. Kama mtu hajawa tayari basi ujue hata awe na umuri mkubwa au mdogo na awe na pesa ama lah hawezi kuoa.