man of sun
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 331
- 460
Hizo sector huwa wanatoa majina kwa ajili ya usahili baada ya mda gani maana nimuda na deadline ishapita lakini bado kabisa hawajatuma Sasa sijui kwanini
Na huwa wanata watu kwenye usaihili kwa kupitia simu namba au wanatuma majina Yao
Na huwa wanata watu kwenye usaihili kwa kupitia simu namba au wanatuma majina Yao