Napenda kufahamu juu ya hawa mbuzi

Nmewafuga na kuchunga sana hao mbuzi kipindi cha 2004-2008! Tulikuwa na Ranch Farm kwa walioishi Morogoro Mazimbu Campus watakuwa wanaifahamu!
Ni breed nzuri ya kisasa, maziwa nayo tumekamua sana! Wako vizuri hao wadude ila nyama yao sio tamu kama wa kienyeji!
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom