Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 66,692
- 172,638
Nmewafuga na kuchunga sana hao mbuzi kipindi cha 2004-2008! Tulikuwa na Ranch Farm kwa walioishi Morogoro Mazimbu Campus watakuwa wanaifahamu!
Ni breed nzuri ya kisasa, maziwa nayo tumekamua sana! Wako vizuri hao wadude ila nyama yao sio tamu kama wa kienyeji!
Ni breed nzuri ya kisasa, maziwa nayo tumekamua sana! Wako vizuri hao wadude ila nyama yao sio tamu kama wa kienyeji!