Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,998
- 103,383
Jiwe alikuwa Hana huruma kabisa na wafanyakaz , kawapora sana stahiki zao, sijui alikuwa anawaza nini
Wapambe wake ndio wakampa jina shujaa kwa huo udhalimu.
Jiwe alikuwa Hana huruma kabisa na wafanyakaz , kawapora sana stahiki zao, sijui alikuwa anawaza nini
Asingeomba radhi asingekuwa mbunge tena leo hii.Pengine mda huu anatamani asinge muomba mwendazake radhi!!
Tena kavurugwa kweli. Wewe upo naye bungeni hebu muulize ubunge wake ni wa haki? Siyo anaongea tu mambo ya haki wakati na yeye kapata ubunge kwa hilaNape ameshavurugwa!
jiwe alikuwa jiwe kweli kweliAsingeomba radhi asingekuwa mbunge tena leo hii.
Hakuvurugwa amejivuruga... alisahau kuwa "woga ni adui wa haki..."Nape ameshavurugwa!
Hivi ungekuwa wewe ungeongea mbele ya jpm bora walinyamaza wakabaki hai leo wanatusemea.Nape alikuwepo huko lakini hata siku moja hajawahi kuongelea mambo hayo zaidi ya kuhangaika sasa
Mwambie ile dhambi ya kufunga Bunge live kipindi kile ni waziri itatafuna mpk vitukuu vyake!Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, ameitaka Serikali, iunde tume ya kuchunguza madai ya walimu, waliopandishwa madaraja bila mishahara, waliofutiwa barua za kupandishwa madaraja.
"Serikali ya CCM, ni ya wakulima na wafanyakazi, twendeni tukatende haki, haki huinua taifa."
"Naiomba serikali, Chama cha wakulima na wafanyakazi twendeni tukatende haki kwenye suala la stahiki, leo kuna watu wanastaafu wanakaa kule mpaka wanakuwa wanyawa gongo kwasababu hamuwapi stahiki zao za kuondokea kwenye vituo vyao vya kazi"
U hali gani?Heri mchawi kuliko mwanasiasa.
Buheri wa afya....za kwako?!U hali gani?
Sijambo sana, za huko? Mtualikage sasa'.Buheri wa afya....za kwako?!
HiMbunge wa Mtama, Nape Nnauye, ameitaka Serikali, iunde tume ya kuchunguza madai ya walimu, waliopandishwa madaraja bila mishahara, waliofutiwa barua za kupandishwa madaraja.
"Serikali ya CCM, ni ya wakulima na wafanyakazi, twendeni tukatende haki, haki huinua taifa."
"Naiomba serikali, Chama cha wakulima na wafanyakazi twendeni tukatende haki kwenye suala la stahiki, leo kuna watu wanastaafu wanakaa kule mpaka wanakuwa wanyawa gongo kwasababu hamuwapi stahiki zao za kuondokea kwenye vituo vyao vya kazi"
Nape ni Rais ajayeMbunge wa Mtama, Nape Nnauye, ameitaka Serikali, iunde tume ya kuchunguza madai ya walimu, waliopandishwa madaraja bila mishahara, waliofutiwa barua za kupandishwa madaraja.
"Serikali ya CCM, ni ya wakulima na wafanyakazi, twendeni tukatende haki, haki huinua taifa."
"Naiomba serikali, Chama cha wakulima na wafanyakazi twendeni tukatende haki kwenye suala la stahiki, leo kuna watu wanastaafu wanakaa kule mpaka wanakuwa wanyawa gongo kwasababu hamuwapi stahiki zao za kuondokea kwenye vituo vyao vya kazi"
Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, ameitaka Serikali, iunde tume ya kuchunguza madai ya walimu, waliopandishwa madaraja bila mishahara, waliofutiwa barua za kupandishwa madaraja.
"Serikali ya CCM, ni ya wakulima na wafanyakazi, twendeni tukatende haki, haki huinua taifa."
"Naiomba serikali, Chama cha wakulima na wafanyakazi twendeni tukatende haki kwenye suala la stahiki, leo kuna watu wanastaafu wanakaa kule mpaka wanakuwa wanyawa gongo kwasababu hamuwapi stahiki zao za kuondokea kwenye vituo vyao vya kazi"
angeyasema haya wakati jiwe yupo tungemwona wa maana sanaMbunge wa Mtama, Nape Nnauye, ameitaka Serikali, iunde tume ya kuchunguza madai ya walimu, waliopandishwa madaraja bila mishahara, waliofutiwa barua za kupandishwa madaraja.
"Serikali ya CCM, ni ya wakulima na wafanyakazi, twendeni tukatende haki, haki huinua taifa."
"Naiomba serikali, Chama cha wakulima na wafanyakazi twendeni tukatende haki kwenye suala la stahiki, leo kuna watu wanastaafu wanakaa kule mpaka wanakuwa wanyawa gongo kwasababu hamuwapi stahiki zao za kuondokea kwenye vituo vyao vya kazi"