Nape: Watu wanastaafu wanakaa mpaka wanakuwa wanywa gongo kwasababu hamuwapi stahiki zao

Kwa hiyo sisi wanywa gongo kwa hiyari yetu wenyewe kakichukuliaje hiki kinywaji chetu pendwa huyu bwa mdogo.
 
Na wao wakubali kukatwa kodi kama wafanyakazi wengine ndipo haki itapatikana
 
Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, ameitaka Serikali, iunde tume ya kuchunguza madai ya walimu, waliopandishwa madaraja bila mishahara, waliofutiwa barua za kupandishwa madaraja.

"Serikali ya CCM, ni ya wakulima na wafanyakazi, twendeni tukatende haki, haki huinua taifa."

"Naiomba serikali, Chama cha wakulima na wafanyakazi twendeni tukatende haki kwenye suala la stahiki, leo kuna watu wanastaafu wanakaa kule mpaka wanakuwa wanyawa gongo kwasababu hamuwapi stahiki zao za kuondokea kwenye vituo vyao vya kazi"
Mwambie ile dhambi ya kufunga Bunge live kipindi kile ni waziri itatafuna mpk vitukuu vyake!
 
Dogo mnafiki utadhani nyoka aliye juu ya mwembe.
Bao la mkono. si Ni huyu na January ndio walimpoka Ndanda Kosovo ugali?
Unakumbuka bunge kutorushwa live?
Aisee kajamaa kanafiki haka.
 
HiMbunge wa Mtama, Nape Nnauye, ameitaka Serikali, iunde tume ya kuchunguza madai ya walimu, waliopandishwa madaraja bila mishahara, waliofutiwa barua za kupandishwa madaraja.

"Serikali ya CCM, ni ya wakulima na wafanyakazi, twendeni tukatende haki, haki huinua taifa."

"Naiomba serikali, Chama cha wakulima na wafanyakazi twendeni tukatende haki kwenye suala la stahiki, leo kuna watu wanastaafu wanakaa kule mpaka wanakuwa wanyawa gongo kwasababu hamuwapi stahiki zao za kuondokea kwenye vituo vyao vya kazi"

images (1).jpeg

Kuna wengine wanakunywa mpaka WANZUKI 😂😂😂
 
Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, ameitaka Serikali, iunde tume ya kuchunguza madai ya walimu, waliopandishwa madaraja bila mishahara, waliofutiwa barua za kupandishwa madaraja.

"Serikali ya CCM, ni ya wakulima na wafanyakazi, twendeni tukatende haki, haki huinua taifa."

"Naiomba serikali, Chama cha wakulima na wafanyakazi twendeni tukatende haki kwenye suala la stahiki, leo kuna watu wanastaafu wanakaa kule mpaka wanakuwa wanyawa gongo kwasababu hamuwapi stahiki zao za kuondokea kwenye vituo vyao vya kazi"
Nape ni Rais ajaye
 
Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, ameitaka Serikali, iunde tume ya kuchunguza madai ya walimu, waliopandishwa madaraja bila mishahara, waliofutiwa barua za kupandishwa madaraja.

"Serikali ya CCM, ni ya wakulima na wafanyakazi, twendeni tukatende haki, haki huinua taifa."

"Naiomba serikali, Chama cha wakulima na wafanyakazi twendeni tukatende haki kwenye suala la stahiki, leo kuna watu wanastaafu wanakaa kule mpaka wanakuwa wanyawa gongo kwasababu hamuwapi stahiki zao za kuondokea kwenye vituo vyao vya kazi"

images.jpeg


😂😂😂​
 
Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, ameitaka Serikali, iunde tume ya kuchunguza madai ya walimu, waliopandishwa madaraja bila mishahara, waliofutiwa barua za kupandishwa madaraja.

"Serikali ya CCM, ni ya wakulima na wafanyakazi, twendeni tukatende haki, haki huinua taifa."

"Naiomba serikali, Chama cha wakulima na wafanyakazi twendeni tukatende haki kwenye suala la stahiki, leo kuna watu wanastaafu wanakaa kule mpaka wanakuwa wanyawa gongo kwasababu hamuwapi stahiki zao za kuondokea kwenye vituo vyao vya kazi"
angeyasema haya wakati jiwe yupo tungemwona wa maana sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom