Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnuye amesema uchaguzi wa Igunga umemalizika na watu waache kupiga kelele hovyo kwenye vyombo vya habari.
Igunga tumeshinda kwa kishindo kikubwa, watu wanasema chama kimegawanyika ni uzushi kwani kama kimegawanyika kisingeweza kupata ushidi mkubwa.
Tusingeshinda kata 17 kati ya 22 zilikuwepo hivyo nawaambia CDM tumewashinda pamoja na kusaidiwa na vyombo vya habari tunawataka waache kulalamika kila matokeo yanapotangazwa alisema Nape.
CCM walikuwa hawapambani na CDM bali na vyombo vya habari vyenye nguvu na vilivyokuwa vikisaidiwa na baadhi ya mataifa yenye nguvu yasiyoitakia mema nchi.
SOURCE: MWANANCHI OCT 9 2011
Igunga tumeshinda kwa kishindo kikubwa, watu wanasema chama kimegawanyika ni uzushi kwani kama kimegawanyika kisingeweza kupata ushidi mkubwa.
Tusingeshinda kata 17 kati ya 22 zilikuwepo hivyo nawaambia CDM tumewashinda pamoja na kusaidiwa na vyombo vya habari tunawataka waache kulalamika kila matokeo yanapotangazwa alisema Nape.
CCM walikuwa hawapambani na CDM bali na vyombo vya habari vyenye nguvu na vilivyokuwa vikisaidiwa na baadhi ya mataifa yenye nguvu yasiyoitakia mema nchi.
SOURCE: MWANANCHI OCT 9 2011