sitakaa niipende ccm labda baba wa taifa afufuke tena:
1. Zinazofanyika sasa ni mbinu chafu za kuwasahaulisha watu ukweli, haitakaa iingie akilini mwa watz kwamba eti jk sasa anawachukie hawa akina RACHEL ili hali ndo wamemweka hapo alipo kwa pesa zao? Thubutu yake hanaubavu zaidi ya kuwandaganya watu wasiojua. Na hata kama atathubutu basi watatumiwa wachumia tumbo kama akina Nape kufikisha ujumbe ili hali yeye amejikalia pembeni. RACHEL ndo mapaka wa ccm waliobaki ccm ni vipanya tu, je ni nani atamfunga paka kengere? Nape na Mukama? Hawataweza haya ni maji marefu kwao tusubiri tuone.
2. Ccm ya leo ni kwa faida ya vigogo,watoto wao na vibaraka wao tu. Hakuna mwana ccm anayetuhurumia sisi watanzania wa kawaida labda tusubiri wakati wa uchaguzi tuhongwa Tshirt na kofia na fedha kidogo kisha wao waendelee na kuitumbua nchi yetu. Tukiendelea na CCM we will nevere go anywhere as a nation, ni kikundi kidogo tu cha wana ccm ndo kitapiga hatua mia mbele ili hali watz wakiendelea kuchapa miguu mpaka yesu arudi!
3. Mimi siwezi kuiamini ccm tena maana ccm are not honest, huwatendea watu unyama siku zote maadamu wamekaa kimya labda CDM waibuke na kupiga kelele ndo wanaanza kujikomba kwa wananchi, kama si CDM haya mambo ya mafisadi tusingekaa tuyasikie. Go everywhere in this country, everything is messy nothing is moving and still jk doesn't know what to do he is just biz na kujivua gamba la chama ili hali watz wanataka serikaili ifanye kazi siyo ccm! He doesnot see because him and his familly are enjoying the cake of this nation. It is very sad, go to hospitals, go to courts go to government offices rushwa imetamalaki huna pesa huna haki!
4. Nape ni nani jamani tusiwe wajinga huyu dogo anatengenezea tumbo lake
wala hamna anachowahurumia watanzania. He is just another makamba in a different suit. Anadhani mafisadi wa kitoka ccm yeye anaweza kuibuka na kupata nafasi maana kwa mambo yalivyokaa hata ubunge tu ameshindwa.
1. Zinazofanyika sasa ni mbinu chafu za kuwasahaulisha watu ukweli, haitakaa iingie akilini mwa watz kwamba eti jk sasa anawachukie hawa akina RACHEL ili hali ndo wamemweka hapo alipo kwa pesa zao? Thubutu yake hanaubavu zaidi ya kuwandaganya watu wasiojua. Na hata kama atathubutu basi watatumiwa wachumia tumbo kama akina Nape kufikisha ujumbe ili hali yeye amejikalia pembeni. RACHEL ndo mapaka wa ccm waliobaki ccm ni vipanya tu, je ni nani atamfunga paka kengere? Nape na Mukama? Hawataweza haya ni maji marefu kwao tusubiri tuone.
2. Ccm ya leo ni kwa faida ya vigogo,watoto wao na vibaraka wao tu. Hakuna mwana ccm anayetuhurumia sisi watanzania wa kawaida labda tusubiri wakati wa uchaguzi tuhongwa Tshirt na kofia na fedha kidogo kisha wao waendelee na kuitumbua nchi yetu. Tukiendelea na CCM we will nevere go anywhere as a nation, ni kikundi kidogo tu cha wana ccm ndo kitapiga hatua mia mbele ili hali watz wakiendelea kuchapa miguu mpaka yesu arudi!
3. Mimi siwezi kuiamini ccm tena maana ccm are not honest, huwatendea watu unyama siku zote maadamu wamekaa kimya labda CDM waibuke na kupiga kelele ndo wanaanza kujikomba kwa wananchi, kama si CDM haya mambo ya mafisadi tusingekaa tuyasikie. Go everywhere in this country, everything is messy nothing is moving and still jk doesn't know what to do he is just biz na kujivua gamba la chama ili hali watz wanataka serikaili ifanye kazi siyo ccm! He doesnot see because him and his familly are enjoying the cake of this nation. It is very sad, go to hospitals, go to courts go to government offices rushwa imetamalaki huna pesa huna haki!
4. Nape ni nani jamani tusiwe wajinga huyu dogo anatengenezea tumbo lake
wala hamna anachowahurumia watanzania. He is just another makamba in a different suit. Anadhani mafisadi wa kitoka ccm yeye anaweza kuibuka na kupata nafasi maana kwa mambo yalivyokaa hata ubunge tu ameshindwa.