Hili la Nape kumsingizia Maalim Seif ana kunywa whisky ni direct attack kwa wana wa zuoni wote..TAKBIIIIIIIR!!!!!TAKBIIIIIIIIIR!!!! C.C.M الانتهاء
Taratibu Junior member. Hebu tueleze taratibu nini kimetokea kabla ya kuanza TAKBIIIIIIIR!!!!!!. Ungeeleza kwa mfano amemsingizia lini? Wapi? na alisema maneno gani hasa ambayo kwa mtazamo wako ni kumsingizia Maalim Seif?