Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,481
- 564
Naombeni radhi JF kuchelewa kuileta hii habari mapema hii ni sababu ya Ngeleja na miradi yake
mkutano ulikuwa na watu wengi kutoka wilya zote za Mbeya ila ni 1/4 ya Ile ya CDM palepale uwanja wa Dr Slaa kama wengi sasa wanavyouita
Alianza katibu CCM mkoa alimuomba mgeni rasmi - NAPE badaye akabidhi kadi 497 za wanachama wapya akiwemo diwani wa CDM wa Kata ya NZOVWE aliyejiuzuru na wanachuo cha TEKU 300.Zikafuta salamu;
alianza Dr H. MWAKYEMBE aliongea mambo mawili
1.Alisema Mbeya tunaipenda na hatuwezi kuiacha ila kwa sasa hatujakaribishwa sababu mbunge wenu yuko busy mno anazunguka majimbo ya CCM na kuwaahidi wananchi kuwa atawatafutia mtu wa kuwang'oa
2. Alisema maamuzi magumu yanafanywa na yeyote hata kibaka anapo amua kumuibia mtu ni uamuzi mugumu ila CCM inafanya uamuzi makini na sahihi kama kujenga chuo cha Dodoma nk
Alifuata C. O. SENDEKA
Pamoja na kuimba mashairi mawili jukwani (MOJA LA TOTI) alimuunga mkono Dr. MWAKYEMBE kwa mambo yote mawili na kuongelea zadi suala la ufisadi kuwa CCM sasa imeamka chini ya Jemadari JK
Alifuata ASHA JUMA yeye alijisifu na kumsifia JK kuwa ni rais wa kwanza kuingia WHITE HOUSE na yeye ndiye aliye msindikiza hivyo wananchi waachane kabisa na hivyo vyama vya DEMA na NGALAWA
Alifuata NW wa Viwanda na biashara yeye alitoa matumaini chanya makubwa kwa WTZ zaidi juu ya huu mwaka wa 50 toka uhuru kuwa huu mwaka ni mwisho udharimu wote eg watu walio pora mashamba ya watu, wafanyabishara wa kigeni wanao fanya zile zinazofanya na wazawa nchi hii, waliua viwanda kama viwanda cha nyama nk
Wabunge wa Mbeya waliomba umoja ushirikiano na mshikamano na kuwa upinzani hawana upendo wa dhati kwa wanambeya
S.Sitta aliongea mengi kama
...Wananchi wasikubalikutekwa na vyama vyama msimu
...Tatizo la umeme si maji pekee bali pia kutotekelezwa kwa umakini kwa mipango iliyo wekwa ambayo imeuawa na mafisadi pindi CCM ilipo lala
...Yeye hatetei posho kama ilivyo sema bungeni na anavyo nuniwa na wabunge wa upinzani bungeni kutokana kauli yake kuwa kama kweli wapo seriuos na posho basi warejeshe zote walizo kula awali
....Wenye pesa walitaka kumng'oa Uanachama CCM lakini alishinda ndiyo maana anaitwa chuma cha pua hii ndiyo sababu vyama vingine vilimuomba agombee urais kama CCJ
.... Serikali ina mpango wa kuzalisha umeme wa kutosha hata wa kuuza nje kama SOUTH SUDAN and SOUTH AFRICA
NAPE M ,N ndiye aliye kuwa mgeni rasmi aliongea mengi ya SS
...CCM ina sumu iliyoongezeka mara mbili
...Mfano wa nyoka ni mzuri angalia wana- Israel walipo umwa na nyoka jangwani waliambiwa wamtazame nyoka wa shaba ndiye CCM
...CCM ya sasa ipo makini baada ya kujivua gamba na hatuahii itaedelea hadi ngazi ya kitongoji kuwawajibisha wauza duka wote waunao uza kwa bei tofauti na waliyo pangiwa yaani wanao tekeleza ilani ya tumbo badala ya CCM
...Aliwasema CUF kuwa Sharif Hamadi alipo ona njaa inauma aliomba pesa alipwe kama WK msitaafu alipewa mashart akatekeleza, akapewa ilipo uma tena akakubaliana kuunda muafaka sasa ana gonga wisky ikulu hivyo wana nchi msiwakubalie kila wanalosema wapinzani kwani wao wanapalilia ulaji kama walivyo fanya ARUSHA, MARA
( KIMSINGI ALIONGEA MENGI MENGINE NI JOKES NITAYAPELEKA JUKWAA LA JOKES)
Aliyekuwa mgombea ubunge kupitia CUF alimponda live Dr Slaa jukwani kuwa alianzaje kuchukua mke wa mtu na kusema ni wake NA kuondolewa jukwani na NAPE.
kati ya waliopewa kadi DIWANI wa CHADEMA hakuwepo kama walivyo sema ila taarifa za chini zinasema DIWANI huyu haelewani na katibu wa CDM hata hivyo MADIWANI wenzake walimuomba aachane na uamuzi wake wa kuhama chama jambo ambalo amekuliana nalo wanamsubiri MEYA yupo safirini ARUSHA kwa sasa.
mkutano ulikuwa na watu wengi kutoka wilya zote za Mbeya ila ni 1/4 ya Ile ya CDM palepale uwanja wa Dr Slaa kama wengi sasa wanavyouita
Alianza katibu CCM mkoa alimuomba mgeni rasmi - NAPE badaye akabidhi kadi 497 za wanachama wapya akiwemo diwani wa CDM wa Kata ya NZOVWE aliyejiuzuru na wanachuo cha TEKU 300.Zikafuta salamu;
alianza Dr H. MWAKYEMBE aliongea mambo mawili
1.Alisema Mbeya tunaipenda na hatuwezi kuiacha ila kwa sasa hatujakaribishwa sababu mbunge wenu yuko busy mno anazunguka majimbo ya CCM na kuwaahidi wananchi kuwa atawatafutia mtu wa kuwang'oa
2. Alisema maamuzi magumu yanafanywa na yeyote hata kibaka anapo amua kumuibia mtu ni uamuzi mugumu ila CCM inafanya uamuzi makini na sahihi kama kujenga chuo cha Dodoma nk
Alifuata C. O. SENDEKA
Pamoja na kuimba mashairi mawili jukwani (MOJA LA TOTI) alimuunga mkono Dr. MWAKYEMBE kwa mambo yote mawili na kuongelea zadi suala la ufisadi kuwa CCM sasa imeamka chini ya Jemadari JK
Alifuata ASHA JUMA yeye alijisifu na kumsifia JK kuwa ni rais wa kwanza kuingia WHITE HOUSE na yeye ndiye aliye msindikiza hivyo wananchi waachane kabisa na hivyo vyama vya DEMA na NGALAWA
Alifuata NW wa Viwanda na biashara yeye alitoa matumaini chanya makubwa kwa WTZ zaidi juu ya huu mwaka wa 50 toka uhuru kuwa huu mwaka ni mwisho udharimu wote eg watu walio pora mashamba ya watu, wafanyabishara wa kigeni wanao fanya zile zinazofanya na wazawa nchi hii, waliua viwanda kama viwanda cha nyama nk
Wabunge wa Mbeya waliomba umoja ushirikiano na mshikamano na kuwa upinzani hawana upendo wa dhati kwa wanambeya
S.Sitta aliongea mengi kama
...Wananchi wasikubalikutekwa na vyama vyama msimu
...Tatizo la umeme si maji pekee bali pia kutotekelezwa kwa umakini kwa mipango iliyo wekwa ambayo imeuawa na mafisadi pindi CCM ilipo lala
...Yeye hatetei posho kama ilivyo sema bungeni na anavyo nuniwa na wabunge wa upinzani bungeni kutokana kauli yake kuwa kama kweli wapo seriuos na posho basi warejeshe zote walizo kula awali
....Wenye pesa walitaka kumng'oa Uanachama CCM lakini alishinda ndiyo maana anaitwa chuma cha pua hii ndiyo sababu vyama vingine vilimuomba agombee urais kama CCJ
.... Serikali ina mpango wa kuzalisha umeme wa kutosha hata wa kuuza nje kama SOUTH SUDAN and SOUTH AFRICA
NAPE M ,N ndiye aliye kuwa mgeni rasmi aliongea mengi ya SS
...CCM ina sumu iliyoongezeka mara mbili
...Mfano wa nyoka ni mzuri angalia wana- Israel walipo umwa na nyoka jangwani waliambiwa wamtazame nyoka wa shaba ndiye CCM
...CCM ya sasa ipo makini baada ya kujivua gamba na hatuahii itaedelea hadi ngazi ya kitongoji kuwawajibisha wauza duka wote waunao uza kwa bei tofauti na waliyo pangiwa yaani wanao tekeleza ilani ya tumbo badala ya CCM
...Aliwasema CUF kuwa Sharif Hamadi alipo ona njaa inauma aliomba pesa alipwe kama WK msitaafu alipewa mashart akatekeleza, akapewa ilipo uma tena akakubaliana kuunda muafaka sasa ana gonga wisky ikulu hivyo wana nchi msiwakubalie kila wanalosema wapinzani kwani wao wanapalilia ulaji kama walivyo fanya ARUSHA, MARA
( KIMSINGI ALIONGEA MENGI MENGINE NI JOKES NITAYAPELEKA JUKWAA LA JOKES)
Aliyekuwa mgombea ubunge kupitia CUF alimponda live Dr Slaa jukwani kuwa alianzaje kuchukua mke wa mtu na kusema ni wake NA kuondolewa jukwani na NAPE.
kati ya waliopewa kadi DIWANI wa CHADEMA hakuwepo kama walivyo sema ila taarifa za chini zinasema DIWANI huyu haelewani na katibu wa CDM hata hivyo MADIWANI wenzake walimuomba aachane na uamuzi wake wa kuhama chama jambo ambalo amekuliana nalo wanamsubiri MEYA yupo safirini ARUSHA kwa sasa.