Nape: Wananchi wanauliza Bomberdia ndio nini?Sisi wa vijijini tunafaidika nayo vipi?

Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye ameandika kwenye ukurasa wake wa Twitter swali aliloulizwa kutoka kwa Wananchi kuwa Bombardier ndio nini? Na watafaidikaje kuwepo kwao vijijini? Au kwa ajili ya mji tu!??

"Watu hawa wanapambana na hali zao! Waliniuliza Bombardier ndio nini? Na sie wa vijijini tutafaidikaje au ni kwenu mjini tu!??".
huyu nae toka amwangwe kwenye uwaziri anawashwa washwa tu
 
mihemko yanape hyo na yy hajui imuhimu wa ndege ,magufuli aliona mbali kumtumbua hana cfa zakuwa kiongoz kwasababu nimlopokaji huyo cyokiongoz ndyo maana anaulizwa na wananchi bombadier ndio nn anashindwa kuwajibu nadhani hakuelewa walichokihitaji hajui yy mwenyewe kuwa aliahidi mambo yakuwafanyia jimboni mwake
 
Kwa nini hatuongei uhalisia tunaishia kumshambulia mtu badala ya changamoto husika tuongee jambo husika Je Secta ya Kilimo na hili la kununua Ndege ni wapi fedha zingerudi kwa haraka zaidi.
Na ktk hizi sehemu mbili ni ipi ingetoa ajira na mapato zaidi .
Kwa hiyo tufike mahali tuache kushambulia badala ya kulijengea hoja swala husika.
Pengo la Nape lipo hatutaliona leo tutaanza kuliona kuanzia 2018 up to 2019 tutaona umuhimu wake kwanini hatujiulizi mbona Komdredi Kinana alitengenezewa Safari na mtu na mpaka leo kimya kwa hiyo tusiongee Sana tuweke na akiba ya maneno.
Kwanza unatakiwa ujue kuna vitu viko chini ya uwezo wa mtu moja moja na kuna vitu ambavyo viko nje ya uwezo wa mtu moka moja.
Kwa mfano tractor wewe au mimi tunaweza kununua kwa mkopo nk, lakini ndege hatuwezi, ila wawekezaji wakubwa kama si serikali, hivyo basi kwa suala kilimo kama mimi kwa ubinafsi wangu siwezi kununua tractor ,basi inabidi nishirikiane na wewe au kikundi ili tuweze kufanya hivyo, na pili tutalimisha shamba kubwa zaidi hivyo kuwa na tija, na serikali ikawekeza pale mimi na wewe hatuwezi, mwisho wa siku kilimo kina endelea na usafiri ai miradi mingine nayo onaendelea, matokeo yake yanakuwa yana tija zaidi kuliko serikali iwekeze kwenye kilimo na mimi na wewe tuwekeze kwenye nini? Pool?? Kwa nini hatutaki kubeba majukumu.
 
Hahaha raisi MAGUFULI keshasema alikuta kilo ya sukari 5000 sasa 2600 mzee muongo sana yule. Akiwa shinyanga ameshawahi kumuita jk mzee bure leo yeye ndiyo anaonekana bure bure bure kabisa


Mkuu nilikuwa shamba, ni kweli jamaa aliongea hivi au anasingiziwa tu? Ingawa sitashangaa maana this dude is capable of saying anything.
 
Nape aache unafiki,albadir itampata mchana mchana.Yeye si ndo aliwadanganya





Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye ameandika kwenye ukurasa wake wa Twitter swali aliloulizwa kutoka kwa Wananchi kuwa Bombardier ndio nini? Na watafaidikaje kuwepo kwao vijijini? Au kwa ajili ya mji tu!??

"Watu hawa wanapambana na hali zao! Waliniuliza Bombardier ndio nini? Na sie wa vijijini tutafaidikaje au ni kwenu mjini tu!??".
 
Kusema ni aina ya ndege zinazoruka angani kusafirisha abiria kwa haraka zaidi kuliko usafiri wa barabara ama majini basi lilikuwa jibu tosha tu, Hekima kidogo. Viongozi wanatakiwa kuongea lugha nyepesi kulingana na mazingira ya elimu ya wapiga kura wao.
 
Kuna jamaa anasema eti kuna siku Tanzania hii ya leo itatoa misaada kwa wazungu!! kweli???? kweli?? Mimi naona tupambane tu na hali yetu, wazungu watabakia wazungu tu!!

nape-png.595367




Mkutano wa wenzetu ambao kuna siku tutawasaidia pesa!!

USA_Repentance-Meeting-day-1.jpg
Acha kujidharau
 
Acha kujidharau
Sijidharau, mimi nasema uhalisia kwamba ili tuwafikie wenzetu lazima tuanze kwanza ustaarabu kwenye siasa zetu maana siasa ina nafasi kubwa mno katika ukombozi wa taifa husika then mengine hufuatia. Siasa zikiwa mbovu za kuwindana as a nation hamfiki popote.
 
Nikiwa kama kada wa Ccm huyu lazma tumtimue chamani, hatuwezi kuwa na watu sampuli ya Nape
 
Kuna jamaa anasema eti kuna siku Tanzania hii ya leo itatoa misaada kwa wazungu!! kweli???? kweli?? Mimi naona tupambane tu na hali yetu, wazungu watabakia wazungu tu!!
Hahaaaa,mkuu alishasema mkulu sijui aliwaza nini?Tanzania itoe msaada kwa uingereza!!!!maweeeee!!!hadi Masihi arudi.
 
Back
Top Bottom