Nape: Wananchi wanauliza Bomberdia ndio nini?Sisi wa vijijini tunafaidika nayo vipi?

Kuna jamaa anasema eti kuna siku Tanzania hii ya leo itatoa misaada kwa wazungu!! kweli???? kweli?? Mimi naona tupambane tu na hali yetu, wazungu watabakia wazungu tu!!

nape-png.595367




Mkutano wa wenzetu ambao kuna siku tutawasaidia pesa!!

USA_Repentance-Meeting-day-1.jpg
Tutawapelekea madafu, nazi, na nguru
 
Hivi nauliza Nape angekuwa abdo ni waziri haya angeyasema? Bila unafiki Nape hayuko na sisi nadhani kwa sasa anacheza mchezo wa kisiasa baada ya uwaziri kuota mbawa. Ni lini aliwahi kufanya au kusema haya wakati akiwa waziri? Au hizi shida huko kwake zimekuja baada ya uwaziri kuota mbawa?
 
Hivi nauliza Nape angekuwa abdo ni waziri haya angeyasema? Bila unafiki Nape hayuko na sisi nadhani kwa sasa anacheza mchezo wa kisiasa baada ya uwaziri kuota mbawa. Ni lini aliwahi kufanya au kusema haya wakati akiwa waziri? Au hizi shida huko kwake zimekuja baada ya uwaziri kuota mbawa?
Kwani Magufuli alipokuwa Waziri mchanga wa ACASIA aliuzungumzia?!
 
Kabaki kua mbunge na mwanachama wa kawaida sana ndani ya chama..ndio mana anayaongea hayo sasa..kipindi anatembelea V8 alikua anaona mtama kama ulaya..

Aendelee kusikilizia dose ikimuingia taratibu..na akiendelea hivi..jimbo la mtama itakua mwisho awamu hii tu..
Wananchi ndio wataamua,sio ww..
 
Mtu/mbunge anayeweka angalizo kama hilo au anayeshindwa kuwajibu wapiga kura wake kuhusu suala la bombadier , inabidii to review ufaulu wake ulikuwaje mpaka hapo alipofika
Kwa nini hatuongei uhalisia tunaishia kumshambulia mtu badala ya changamoto husika tuongee jambo husika Je Secta ya Kilimo na hili la kununua Ndege ni wapi fedha zingerudi kwa haraka zaidi.
Na ktk hizi sehemu mbili ni ipi ingetoa ajira na mapato zaidi .
Kwa hiyo tufike mahali tuache kushambulia badala ya kulijengea hoja swala husika.
Pengo la Nape lipo hatutaliona leo tutaanza kuliona kuanzia 2018 up to 2019 tutaona umuhimu wake kwanini hatujiulizi mbona Komdredi Kinana alitengenezewa Safari na mtu na mpaka leo kimya kwa hiyo tusiongee Sana tuweke na akiba ya maneno.
 
Nape; wajibu wananchi wako kuwa bombadier ni kirefu cha bomba la maji. bombadier zote zilizonunuliwa zikija, shida ya maji itakwisha vijijini.
 
Kuna jamaa anasema eti kuna siku Tanzania hii ya leo itatoa misaada kwa wazungu!! kweli???? kweli?? Mimi naona tupambane tu na hali yetu, wazungu watabakia wazungu tu!!

nape-png.595367




Mkutano wa wenzetu ambao kuna siku tutawasaidia pesa!!

USA_Repentance-Meeting-day-1.jpg
hahahaaahahahahhaha Donor country
 
Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye ameandika kwenye ukurasa wake wa Twitter swali aliloulizwa kutoka kwa Wananchi kuwa Bombardier ndio nini? Na watafaidikaje kuwepo kwao vijijini? Au kwa ajili ya mji tu!??

"Watu hawa wanapambana na hali zao! Waliniuliza Bombardier ndio nini? Na sie wa vijijini tutafaidikaje au ni kwenu mjini tu!??".
Kama Nape Nnauye hajui umuhimu wa ndege kwenye uchumi basi Tanzania tuna uhaba wa viongozi na Magufuli hakukosea kumtumbua.
Nape anatakiwa kujua kujua uchumi wa nchi ni suala mtambuka. Maendeleo sio maj na umeme pekee, anatakiwa awafafanulie mchango wa ndege hizo siyo kuhoji maswali kama mtu ambaye hajaenda shule.
 
Nape watuwengi hawajui namna yakukuenzi kwani kitendo chawewe kuwa nje yamfumo ulikuwahuwezi kujuwa mambo tunayopitia huku nje sasa nawewe umeyaona ndio maana unayasema kina bashe wanayajuwa ndio maana wakisema wanaonekana ni wapinzani sasa nawashauri watu waache kusema sijui goli lamkono tukubali kile kinachosemwa na nape nakukichuja kwani nape nimsaada mkubwa atakapo amua kusema kileambacho anaikosoa serekali sisi tunazidi kupata mwanga
 
Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye ameandika kwenye ukurasa wake wa Twitter swali aliloulizwa kutoka kwa Wananchi kuwa Bombardier ndio nini? Na watafaidikaje kuwepo kwao vijijini? Au kwa ajili ya mji tu!??

"Watu hawa wanapambana na hali zao! Waliniuliza Bombardier ndio nini? Na sie wa vijijini tutafaidikaje au ni kwenu mjini tu!??".
wamlaani membe na genge lake kwa kutawala miaka kumi bila kuwaletea maendeleo ,
 
Mku ukweli nao umekuwa Kejeli kumbuka hizo fedha kulikuwa mengi ya kufanya ili kuinua vipato na kodi sio return ambayo haijaoneka .
Hivi kama hizo fedha zungeingizwa ktk Kilimo na serikali kama serikali ingekuwa imeshavuna mara ngapi kwa Kilimo cha kumwagilia.
Nape ni Kiongozi anachokiandika analijua ndo akaja na hili swali tusifikie tukawa watu watu ndiooo lazima tuangalie tungu zimenunuliwa kuna lipi lakujifunza zaidi ya hawa waliopewa madaraka kuja na swali kama kwa kuwa yeye huoni chochote cha maana.
Je tungetumia Jeshi la mgambo au Jkt kwa uzalishaji kwa hiyo fedha tungekuwa tumeinua pato kiasi gani zaidi kuja na majibu tunakuja na mipasho sio haki Sisi ni raia wa nchi lazima michango yetu iinue Nchi sio kusifia kwa kuwa ni wa chama chetu ccm basi nikikosoa nimekibeba sio tunakiua chama kwa kukubali kila kitu pasipo kuhoji huu sio mpango ya kukipa chama afya.
Chama kitapata maendeleo kwa kuwa misimamo wake ok tangu zinunuliwa kuna lipi tuliloliona tunaweza kusimama vifua mbele ya kuwa tumeinua pato la Mtanzania badala kusikia malalamiko kwa wafanya biashara kukosa njia rafiki za kujiingizia kipato matokeo na mapato yanashuka tufike mahali tuwe wakweli kuendana na mazingira ni kesho kutwa tena tunaenda kwa wananchi kuomba kura tunaenda na lipi hili ndo la muhimu kwani yapo mengi tuliyoyahudi mpaka sasa hayajafanyika kwa hiyo tusiwe na ndimi mbili hii ni mbaya miaka inakimbia kuutafuta uchaguzi mwingine kwa hiyo ni muhimu tuwe na majibu ya wananchi. Nape ni Mbunge wa chama changu ccm kama kaja hivi ujue Wananchi wake ni wakweli hataki kubaki na ndiooo imepitwa na wakati tutakuwaje na chama imara kwa kuja na fikra kama hii.
Kwa hiyo chama kisimamie yale ya muhimu kwa Mapato ya harakaharaka kuendana na mzunguko Kilimo na Biashara za wananchi tunaowaongoza sio zilezile fikra za kuja na ahadi zisizotekelezeka tunaahidi kwa maneno vitendo havipo kuna chama tena zaidi ya kukataliwa na wananchi na wanachama tusijudanganye hali imebadilika ndo maana Wapinzani tumewafunga mikono alafu tunasema tuko vizuri kaeni na wananchi msikie wanavyolia hali kuwa ngumu.
Makampuni yanapunguza wafanyakazi kila uchao mapato yanashuka kila uchao then tunasema tuko vizuri usicheze na mtu ambaye atahubuliriwa kuhusu njaa yake wakati anaona hiyo njaa inatokana na nini huyu majibu yake tunayo lakini tunaweza kujitoa akili yakuwa majibu yake hatuna kwa kuwa sisi ni watawala tunaweza kuamua lolote ili mambo yetu yaende huku njaa inazidi.
Tufike mahali tubadilike kuendana na mazingura.

Ee Mwenyezi Mungu uilinde Nchi yangu Tanzania na kumponyesha Lissu ili aweze kurudi na uimara zaidi ili kuwa na mawazo mapya yakutufanya tusiishi kwa mazoea.
Amen
Mkuu umeandika meeeengi, lakini ukweli ni kwamba huyo mbunge kaongea hivyo baada ya kuvuliwa uwaziri.

Hayo yote unayoyaongelea sio kwamba hayafanyiwi kazi, juzi juzi pale bandarini meli moja imeshusha mzigo mkubwa wa mbolea kwa ajili ya wakulima hao hao wa vijijini.

Elimu inatolewa bure kwa ajili ya masikini hao hao wa vijijini. Afya inaboreshwa kwa ajili ya wakulima hao hao wa vijijini.

Huyo mbunge kama ni mjanja kama yalivyo na maneno yake, aangalie fursa zipi za uwekezaji zinazoweza kufanyika hapo jimboni kwake, halafu atafute wawekezaji kwa nia ya kuanzisha viwandani vitakavyowasaidia wananchi wake.

Ujanja wa vijembe kwa nia ya kupata sifa za muda mfupi, hauna faida kwake wala kwa yoyot yule.
 
yaaan mpaka picha imejaaa umaskini,,,anakazi kubwa sana kupunguza makali ya maisha kwa hao wananchii?natumanini walimuuliza maswali magumu ya maendeleo yao..
 
Kama Nape Nnauye hajui umuhimu wa ndege kwenye uchumi basi Tanzania tuna uhaba wa viongozi na Magufuli hakukosea kumtumbua.
Nape anatakiwa kujua kujua uchumi wa nchi ni suala mtambuka. Maendeleo sio maj na umeme pekee, anatakiwa awafafanulie mchango wa ndege hizo siyo kuhoji maswali kama mtu ambaye hajaenda shule.
Povu la bure limekutoka nape hakuna sehem kasema yeye hajui faida ya hizo ndege yeye wapiga kura wake ndio wanauliza kwanza uelewe hivyo inawezekana Alipatashida kuwaonyesha faida yamojakwamoja wapiga kura wake mzunguko wake nimkubwa naukizingatia katika jumbo lake huwenda sicho alicho ombea kura niwasifu sana wapiga kura wake kuzingatia yalealio ombea kura mengine nikituko inawezekana katika ilani ya ccm imetaja kununua bombardier lakini nikipaumbele changapi sasa huwezi leta chanyuma kiwe mbele ndio maana nchi yetu inaonekana hainadira
 
Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye ameandika kwenye ukurasa wake wa Twitter swali aliloulizwa kutoka kwa Wananchi kuwa Bombardier ndio nini? Na watafaidikaje kuwepo kwao vijijini? Au kwa ajili ya mji tu!??

"Watu hawa wanapambana na hali zao! Waliniuliza Bombardier ndio nini? Na sie wa vijijini tutafaidikaje au ni kwenu mjini tu!??".
madaraka yasingemwacha nape salaama ,uwazr hupati tena ngo' ulikubali kuwa mlopokaji eti unapenda ukwel leo hii una tweet kipindi membe anatawala hilo jimbo mbna hukuwahi ku tweet laana ya uwazr itakutafuna ,unafk hautokuacha salaama, ulikuwa mwenez hatakumshauri membe kwenye jimbo lako awsaidie wananchi kwenye swala la maendeleo ulikaaa kmya leo hii naona povu linakutoka baada yakupokonywa uwazri pole sana ,ccm ilikuwa shimoni kama msemo wako kumbuka uliikuta nakuiacha pambana na hali yako vya bure kwa sasa hapana tena hapana ,msipende kuwadanganya wananchi huko jimboni kwenu membe ametoka bila kuwafanyia kitu ,msipende kuongoza majimbo wakati hamuwasaidii wananchi
 
Back
Top Bottom