Nape wajibu watanzania maswali haya

MLO

Senior Member
Apr 2, 2012
197
84
1.nchi inaongozwa na chama gani?

2.chama chako kimeongoza muda gani?

3.mmetunga sera gani za kudumu za kuwaletea maisha watanzania ktk rasilimali zote?

4.kwanini maisha ya maganzo ni magumu tangu almasi ipo hadi mashimo yanayovunja miguu na ngombe?

5.pembe zilifikaje china?

6.kwanini watu wanazungumuzia udini leo kuliko wakati uliopita?

7.kwanini unalalamika wakati wewe ni kiongozi?

8.kwanini mnafanya maamuzi kama muanaongoza ngumbalu?

9.akinani ulikuwa unawalenga wajivue gamba?

10.je ulifanikiwa kuwavua?

11.kama ulikwama unafanyanini hapo ulipo?

12.je unaitambua katiba iliyopo?kama ndio mbona unawapngia polisi cha kufanya?

13.je una uwezo wa kuchunguza zaidi ya vyombo vya dola?

15.twiga walipandaje ndege/meli?

16.mkoa wa mara wanazungumziaje kuhusu migodi iliyopo?

17. Kahama walikuambiaje kuhusu dhahabu?18. Umewaandaje wana ccm kukabithi madaraka kwa amani?

19.je amani itavunjwa na chadema au ccm?

20.je uko tayari kumwaga damu ili ccm ibaki madarakani?naomba majibu ingawa uko bize kuwahadaa watanzania.darasani kwenu wewe ndiye ulikuwa na akili peke yako.wapo ambao walikuwa shule zingine kama mimi sikubali
 
umesema safi sana. nape hana la kujibu hapa zaidi ya propaganda tu. anaongea hata hajui aongeacho. kama nape bado anaamini tanzania inaongozwa na sera ya ujamaa atapata wapi majibu hapa. ngoja wamalize tembo wetu na kinan
 
Hana msaada na TAIFA huyo,keshajitengenezea naye mirija yake ya kinyonyaji inayozaliwa na urafiki wa kijangili na kifisadi.,C ANGEENDA AKAFUNGULIE HILO BAKULI LAKE PALE NTWALA KAMA KWELI NI NZALENDO NA ASEMACHO NI KWELI,KWELI TUPU."hawezi toa jibu hata moja hapo ni nchanii tu kama wachanii wengine.
 
namshanga nape ana ropoka kuwa chadema inavunja katiba yake...je iweje kwenye mchakato wa kuunda katiba mpya? Nimejiuliza sana huyu nape upeo wa kutafakari ni wanamna gani? Swala la katiba lililetwa na chadema na wakarikubali..sasa iweje leo chadema wasiwe mstari wa mbele kuhakikisha inapatikana katiba mpya? Eti anasema chadema wameshindwa kwa sababu yale waliyokuwa wanayataka yamekwama ....nikabaki najiuliza chadema wamekwama vipi? Au rasimu ya katiba imeandaliwa na nape na kinana?
 
Ataanza na lipi. Hana jipya. Magamba yamekua magumu kuliko ya Kobe hayavuliki.
 
Akiwa anahutubia wananchi huko Njombe katika viwanja vya polisi vya Makambako amesema kuwa ana imani na tume ya katiba kuwa italeta katiba nzuri na hivyo wale wote ambao wanapingana na tume ni wale ambao mambo yao hayajawekwa hivyo ni wa kupuuzwa .

Aliendelea kusema kuwa Chadema hawajui hata katiba yao na hivyo hawataweza kuijua katiba ya nchi , katika kujenga hoja yake hiyo kasema kuwa mfumo wa kanda ambazo zinazinduliwa na Chadema hazipo kwenye katiba ya chadema ya mwaka 2006 na hivyo hata kama wakikabidhiwa nchi hawataheshimu katiba ya nchi .

Nnape , kwa kuwa unashauriwa na Mtela na Shonza , soma katiba ya Chadema kuhusu Kanda , inapatikana ibara ya 7.6 ,inasomeka ifuatavyo, 'patakuwa na majimbo ya chama kwa taratibu zitakazowekwa na Baraza kuu,kutokana na mahitaji ya kisiasa,kiuchumi na kijamii'

Ibara ya 7.6.1 inasema kuhusu wajumbe wa baraza la uongozi
ibara ya 7.6.2, inazungumzia kazi za baraza la kanda /jimbo
7.6.3. Inazungumzia vikao vya baraza la uongozi .

aidha, kanuni za chama zimefafanua zaidi na kwa ufasaha , hivyo kama unaweza kusema kuwa kanda za Chadema sio suala la kikatiba basi utakuwa mbumbumbu wa katiba ya chadema kupindukia na hivyo inawezekana hata ukawa mbumbumbu wa katiba ya nchi kwani kama unashindwa kusoma na kuielewa ya Chadema ,je! Ya nchi umewahi kuielewa?

Nimeishia hapo darasa la leo.
 
Ataanza na lipi. Hana jipya. Magamba yamekua magumu kuliko ya Kobe hayavuliki.
 
Nape kashindwa kuwatafuta wazazi wake je ana moral authority gani ya kuitafuta katiba ya chadema na kuisoma na je kama hata ya chadema haijui na wala hajaitafuta ataweza kuitafuta katiba ya nchi na hata kuisoma?. kwa ninacho kiona ni kuwa kwa wale watu waliosoma mambo ya Aging kuna ugonjwa unaitwa Dementia na dalili zake ni kukosa umakin, forgetifness, language change, na kutapika maneno ya ovyo ovyo. nape come oooon.........peole will serukamberise u or they will liberalise u if u cant even dare to think critically.
 
Wakuu naomba ufafanuzi juu ya tofauti kati ya Kanda na Jimbo, which is which?
 
Wakuu naomba ufafanuzi juu ya tofauti kati ya Kanda na Jimbo, which is which?
Kanda ni zone na Jimbo ni zone vilevile, thats why ukisoma kanuni za chadema utaona kila penye Jimbo linalomaanisha Constituency imewekwa very clear kumaanisha maana hiyo,
 
Pia Nnape kama alivyonukuliwa na ITV akisema kuwa chadema wanapinga rasimu ya katiba kwa kuwa maoni yao hayakuzingatiwa ina maana wameshaiona hiyo rasimu ya katiba? Tume inapaswa kusema kama wameshirikiana na CCM ktk kuiandika hiyo rasimu ya katiba ama laaa.
 
Nape ni mtaalamu wa kuungaunga.
Majina ya kuungaunga mara anaitwa Nahum mara anaitwaNape.
Shule ya kuungaunga. Kutoka division IV ya 29 mara EGM Butimba TTC, Cetificate Kivukoni, Certificate CFR hadi bachelor kwa kina kumar! Kiufupi ni zero brain...
 
Nape ni mtaalamu wa kuungaunga.
Majina ya kuungaunga mara anaitwa Nahum mara anaitwaNape.
Shule ya kuungaunga. Kutoka division IV ya 29 mara EGM Butimba TTC, Cetificate Kivukoni, Certificate CFR hadi bachelor kwa kina kumar! Kiufupi ni zero brain...

kwa hiyo hata katiba ya Chadema aliisoma kwa kuunga unga ?
 
kwa hiyo hata katiba ya Chadema aliisoma kwa kuunga unga ?

Ndio maana yake.

Angekuwa hajaungaunga shule asingejisahau na kuropoka kuwa rasimu ya katiba inayokwenda kutolewa na tume ya Warioba haina mapendekezo ya Chadema, na kwakufanya hivyo ameithibitisha kauli ya Chadema kuwa ccm imeuteka mchakato wa katiba mpya na kuufanya katiba mpya ya ccm.
 
...Nape ni FISADI wa elimu. Division 4 ya point 29 aliendaje chuo kikuu? mtu hata Civics anapata F
Civics si ndio ilikuwa inaitwa elimu ya siasa ? Sasa anafanya nini huko alikofeli kutoa tafsiri tu ya what is civics?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom