KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,555
- 8,552
Nimehamasika kuweka hii picha kwa sababu tunachokiamini kuwa Nnauye Jr nimwanacha halali wa CCJ kwa maana mpaka leo hajarudisha kadi yetu na hajakana kwenye vyombo vya habari kuwa yeye siyo tena mwanachama wa CCJ.
Yangu ni hayo nasubiri mrejesho maana nakumbuka siku zakaribuni alimshambulia Katibu mkuu wa cha Demoklasia na maendeleo kuwa yeye hajarudisha Kadi ya CCM, na mimi leo nataka aseme kama alirudisha kadi ya chama chetu CCJ.Tunaitaka kadi yetu.
Yangu ni hayo nasubiri mrejesho maana nakumbuka siku zakaribuni alimshambulia Katibu mkuu wa cha Demoklasia na maendeleo kuwa yeye hajarudisha Kadi ya CCM, na mimi leo nataka aseme kama alirudisha kadi ya chama chetu CCJ.Tunaitaka kadi yetu.
Last edited by a moderator: