asaprichie
JF-Expert Member
- Nov 29, 2014
- 292
- 227
Kaa utulie dada ake bashite weyee
umenchekesha sn
Kaa utulie dada ake bashite weyee
Kama wameandika kitu ambacho ni cha kweli, wewe unataka wawajibishwe vipi? Ili wawajibishwe hao Mwanahalisi, makonda anatakiwa akanushe kwa data kama yeye si Daud Bashite na ile sifuri ya Daud Bashite sio yake.Wana jukwaa heshima kwenu
Niende kwenye hoja.
Gazeti la leo la Mwanahalisi limeandika taarifa ya uchochezi, kudhalilisha na kuchonganisha. Nikiwa kama mkazi wa Dar es salaam imenikwaza sana.
Kuna aya nyingi zinazosema '' Daudi (Makonda kwa sasa)" huu ni udhalilishaji, Nape upo kimya kwa nini? au bado una bifu la wem#?
Daudi (Makonda Kwa sasa) alipata sifuri (division zero). Makonda amekana juzi kwenye kikao cha RC hajawahi kupata zero,unataka nini ili uchukue hatua.
Hivi ungekuwa umeandikwa wewe mh Nape ungekaa kimya?
Na usipolichukulia hatua juu ya hii habari, tutaamini unayoyafungia ni kwa sababu ya chuki .
Msijibu kwa jazba tushee mawazo
Nawasilisha
Sawa MAKONDA hajawahi kupata sifuri....lete VYETI DAUDI BASHITE....maneno ya nnWana jukwaa heshima kwenu.
Niende kwenye hoja.
Gazeti la leo la Mwanahalisi limeandika taarifa ya uchochezi, kudhalilisha na kuchonganisha. Nikiwa kama mkazi wa Dar es salaam imenikwaza sana.
Kuna aya nyingi zinazosema '' Daudi (Makonda kwa sasa)" huu ni udhalilishaji, Nape upo kimya kwa nini? au bado una bifu la wem#?
Daudi (Makonda Kwa sasa) alipata sifuri (division zero). Makonda amekana juzi kwenye kikao cha RC hajawahi kupata zero,unataka nini ili uchukue hatua.
Hivi ungekuwa umeandikwa wewe mh Nape ungekaa kimya?
Na usipolichukulia hatua juu ya hii habari, nitaamini unayoyafungia ni kwa sababu ya chuki.
Msijibu kwa jazba tushee mawazo
Nawasilisha
We jamaa vipi?? Umekula maharagr ya wapi?Wana jukwaa heshima kwenu.
Niende kwenye hoja.
Gazeti la leo la Mwanahalisi limeandika taarifa ya uchochezi, kudhalilisha na kuchonganisha. Nikiwa kama mkazi wa Dar es salaam imenikwaza sana.
Kuna aya nyingi zinazosema '' Daudi (Makonda kwa sasa)" huu ni udhalilishaji, Nape upo kimya kwa nini? au bado una bifu la wem#?
Daudi (Makonda Kwa sasa) alipata sifuri (division zero). Makonda amekana juzi kwenye kikao cha RC hajawahi kupata zero,unataka nini ili uchukue hatua.
Hivi ungekuwa umeandikwa wewe mh Nape ungekaa kimya?
Na usipolichukulia hatua juu ya hii habari, nitaamini unayoyafungia ni kwa sababu ya chuki.
Msijibu kwa jazba tushee mawazo
Nawasilisha
We unasemaje iyo ni Habari ya uchochezi wakati mtu ndugu zake na wanafunzi wenzake, waalimu wake na marafiki wameeka kila ki2 nje Kuhusu Bashite kufoji vyeti....Usitete ujinga....utakanushaje bila kuweka vyeti hadharani...kama ni anatudanganya....hakuna msomi anae ona aibu kuweka vyeti hadharani tena pale anapotuhumiwa kwa tuhuma kama za Bashite....Wana jukwaa heshima kwenu.
Niende kwenye hoja.
Gazeti la leo la Mwanahalisi limeandika taarifa ya uchochezi, kudhalilisha na kuchonganisha. Nikiwa kama mkazi wa Dar es salaam imenikwaza sana.
Kuna aya nyingi zinazosema '' Daudi (Makonda kwa sasa)" huu ni udhalilishaji, Nape upo kimya kwa nini? au bado una bifu la wem#?
Daudi (Makonda Kwa sasa) alipata sifuri (division zero). Makonda amekana juzi kwenye kikao cha RC hajawahi kupata zero,unataka nini ili uchukue hatua.
Hivi ungekuwa umeandikwa wewe mh Nape ungekaa kimya?
Na usipolichukulia hatua juu ya hii habari, nitaamini unayoyafungia ni kwa sababu ya chuki.
Msijibu kwa jazba tushee mawazo
Nawasilisha
sasa unampeleka mwanao iliiweje??Naunga mkono hoja, huu ni ulimwengu wa kutumia cheti cha yoyote tu...
Mbona hujasema kama wewe ni wakili wa aliyeumizwa na habari hiyo.Wana jukwaa heshima kwenu.
Niende kwenye hoja.
Gazeti la leo la Mwanahalisi limeandika taarifa ya uchochezi, kudhalilisha na kuchonganisha. Nikiwa kama mkazi wa Dar es salaam imenikwaza sana.
Kuna aya nyingi zinazosema '' Daudi (Makonda kwa sasa)" huu ni udhalilishaji, Nape upo kimya kwa nini? au bado una bifu la wem#?
Daudi (Makonda Kwa sasa) alipata sifuri (division zero). Makonda amekana juzi kwenye kikao cha RC hajawahi kupata zero,unataka nini ili uchukue hatua.
Hivi ungekuwa umeandikwa wewe mh Nape ungekaa kimya?
Na usipolichukulia hatua juu ya hii habari, nitaamini unayoyafungia ni kwa sababu ya chuki.
Msijibu kwa jazba tushee mawazo
Nawasilisha