Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,664
Nape kauli yako inaonyesha wazi kwamba mnatafuta sababu za kuvuruga kampeni na kuchakachua matokeo ili mjihamishie ushindi. Leo hii mnatuletea kauli za uchochezi eti mtatumia vijana wenu kuhakikisha ulinzi kwa watu wenu, je vyama vya upinzani navyo vikiamua kujibu mapigo kwa style hiyo mtakuwa mmemtendea nini huyo mwananchi aliyeko hapo Igunga?
Mlianza kwa kuwapokea wale wasaliti wa Arusha na mkawakumbatia, ili kuendeleza unafiki wenu mnajidai kulalamika eti DC hakutendewa haki mbona hamlielezei hilo kosa alilolifanya? Mnapotosha watu kwa kutoa mifano ya Arusha na Mwanza, aliyewambia huo ubaguzi wenu tunautaka ni nani?
Mnashindwa kutoa ulinzi kwenye mambo ya maana, eti mnaanza kulindana nyie kwanza, wizi mtupuuu!
Mlianza kwa kuwapokea wale wasaliti wa Arusha na mkawakumbatia, ili kuendeleza unafiki wenu mnajidai kulalamika eti DC hakutendewa haki mbona hamlielezei hilo kosa alilolifanya? Mnapotosha watu kwa kutoa mifano ya Arusha na Mwanza, aliyewambia huo ubaguzi wenu tunautaka ni nani?
Mnashindwa kutoa ulinzi kwenye mambo ya maana, eti mnaanza kulindana nyie kwanza, wizi mtupuuu!