nape asema sasa wataanza kuwatumia vijana wao kuwalinda viongozi wao.ameongeza kusema haiwezekani watu wa arusha na mwanza waende igunga kubaka watu,kudhalilisha wakina mama na kupigana mapanga.anasema wao hawatakubali.ameongea na waandishi akiwa dar.
my take;
ccm maji yamewafika shingoni na wanashindwa wafanyeje.sasa waameanza siasa za maji taka na ubaguzi wa kusema watu wa arusha hawatakiwi kwenda kwenye kampeni igunga.anafikili ccm ndo ina vijana tu.nape mwaka huu mnalo na limewaganda.
chanzo ch10.mia
Mara baada ya kauli hiyo, taarifa zinasema Nape aliondoka katika eneo hilo na kuingia kwenye gari lake haraka kuelekea Singida.Shaban: ( mpambe wa Rostamu) Nape unatafuta nini hapa?
Nape: (vuvuzela la CCM) Wewe unafahamu unaongea na nani?
Shaban: (kwa dharau) Ndiyo. Nafahamu kwamba wewe ni Nape Nnauye.
Nape: (kwa unyonge)…Nimekuja kikazi. Tupishe tunamazungumzo yetu.
Shaban: (kwa ukali)…Ondoka hapa, vinginevyo tutakuonyesha. Umekuja kutuharibia uchaguzi siyo ?