Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,881
- 1,124
Akiongea katika mkutano wa CCM Arusha katibu mkuu wa CCM alitamka haya. nanukuu.
''Katika miaka ya hivi karibuni CCM ilikuwa imepoteza mwelekeo hali iliyowafanya watanzania kukata tamaa na viongozi wao na wengine kujiunga upinzani''.
Sasa wewe Nape kusema Dr. Slaa ni mwongo na kuchonganisha watu na CCM ni upi? Angalieni uongo wenu na waandishi mliowanunua.CHADEMA iliwafukuza madiwani wao uanachama hivyo moja kwa moja wakaukosa udiwani na walipoenda mahakamani wakaangukia pua leo mnatangazia uma mmepokea kadi za makada wa CHADEMA. je kuna uongo kama huo, hao makada kuanzia lini wakati walishafukuzwa.
Hao si zaidi ya oil chafu uliyokuwa unaizungumzia.
''Katika miaka ya hivi karibuni CCM ilikuwa imepoteza mwelekeo hali iliyowafanya watanzania kukata tamaa na viongozi wao na wengine kujiunga upinzani''.
Sasa wewe Nape kusema Dr. Slaa ni mwongo na kuchonganisha watu na CCM ni upi? Angalieni uongo wenu na waandishi mliowanunua.CHADEMA iliwafukuza madiwani wao uanachama hivyo moja kwa moja wakaukosa udiwani na walipoenda mahakamani wakaangukia pua leo mnatangazia uma mmepokea kadi za makada wa CHADEMA. je kuna uongo kama huo, hao makada kuanzia lini wakati walishafukuzwa.
Hao si zaidi ya oil chafu uliyokuwa unaizungumzia.