- CCM tuliacha siku nyingi kupokea oil chafu na Chadema mkaiga, kabla Kinana hajawa Katibu CCM tumewapiga kwenye Urais, Ubunge na majuzi kwenye Udiwani, I mean pmaoja na kwamba mjadala wenyewe ni very low, lakini naomba kukuuliza exactly what is your point here?
Le Mutuz!
The point is: hivi CHADEMA ni ajenda ya kudumu ya CCM?Hivi CCM hawana mambo mengine ya kuwaambia wananchi zaidi ya habari za CHADEMA? ni hilo tu! any way hongera kwa kupata ujumbe wa jumuiya ya wazazi