dative dogo
Member
- Jan 22, 2013
- 10
- 90
Leo hii mheshimiwa Nape Nauye ameeleza kwa kina jinsi ambavyo serikali inakosea katika mambo mengi sana, nape anasema Serikali imevaa viatu ambavyo sio saizi yetu. Nimependa sana Uzalendo wa Nape Nauye ... Hebu mtazame hapo chini alivyofunguka kisha toa maoni yako.