NAPE: Serikali inavunja sheria mchakato wa mradi wa Selous

Taso

JF-Expert Member
Jun 12, 2010
2,463
2,289



Ukitaka kupata muktadha wa anachokisema Nape rejea maagizo ya serikali mwezi uliopita kuhusu michakato ya utekelezaji wa miradi nchini.

RAIS alitamka, siku anazindua mradi wa KINYEREZI TWO, kwamba hataki kusikia mradi wowote nchini unachelewa kwa vile eti kibali cha mazingira, au sijui cha Tanroads au cha EWURA hakijatoka.

Na ni hayo maagizo ndio yanatekelezwa sasa kwa kasi ya kutisha pale ambapo hatua za awali za mradi zinaendelea kabla ya kukamilika kwa ripoti ya tathmini ya athari kwa mazingira. Ni HATARI sana kwa nchi yetu. Next up watakuja watu hapa wanataka kuchimba Uranium kwa ajili ya miradi yao ya Nuclear (Iran walimtuma Vice President wao mwaka jana hapa na hatukuambiwa kafuata nini) na tutakubali kirahisi kwa sababu "tumeshachelewa sana," hatuwezi kupoteza muda na vimasuala vya environmental impact assessment.

Sheria zipo kutulinda, hatuna budi kuzilinda ili zituweke salama, serikali haipaswi kuwa kinara wa kuvunja sheria.
 
Kama anaamini serikali inavunja sheria yeye ni Mbunge alete Bungeni hoja na hata hoja ya kutokuwa na imani na waziri mkuu; chama chake chenye wabunge wengi, kisikilize hoja hizo na awashawishi wabunge wenzake waiondoe serikali madarakani.

Hii ndio njia pekee ya kuonesha kuwa kweli anamaanisha anachosema na anakipa uzito unaostahili. Mbunge anapotuhumu serikali ya chama chake kuvunja sheria na kimsingi kuvunja Katiba asiishie tu hivi hivi; alete hoja ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu...
 
Kama anaamini serikali inavunja sheria yeye ni Mbunge alete Bungeni hoja na hata hoja ya kutokuwa na imani na waziri mkuu; chama chake chenye wabunge wengi, kisikilize hoja hizo na awashawishi wabunge wenzake waiondoe serikali madarakani. Hii ndio njia pekee ya kuonesha kuwa kweli anamaanisha anachosema na anakipa uzito unaostahili. Mbunge anapotuhumu serikali ya chama chake kuvunja sheria na kimsingi kuvunja Katiba asiishie tu hivi hivi; alete hoja ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu...

Nape au mbunge yeyote Kutokuleta hoja ya kumuondoa Waziri Mkuu bungeni haimaanishi serikali inafuata sheria hata kama ni dhahiri haifuati sheria.

Na wala hakuipi serikali uhalali wa kuvunja sheria eti kwa kuwa hakuna mbunge aliyepeleka hoja bungeni kuipinga kwa yenyewe kuvunja sheria!.

Political moves ni one thing na legality of actions ni kitu kingine!

Kama sheria inataka vibali vya mazingira viwepo basi hakuna budi viwepo. Kama hatuitaki hiyo sheria basi tuibadiri kwanza kabla ya kuinajisi.

Nchi huendeshwa kwa sheria kabla ya nia njema, na nia njema lazima ziwe ndani ya framework za sheria.
 
Kama anaamini serikali inavunja sheria yeye ni Mbunge alete Bungeni hoja na hata hoja ya kutokuwa na imani na waziri mkuu; chama chake chenye wabunge wengi, kisikilize hoja hizo na awashawishi wabunge wenzake waiondoe serikali madarakani. Hii ndio njia pekee ya kuonesha kuwa kweli anamaanisha anachosema na anakipa uzito unaostahili. Mbunge anapotuhumu serikali ya chama chake kuvunja sheria na kimsingi kuvunja Katiba asiishie tu hivi hivi; alete hoja ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu...
Unaamini katika mazingira halisi ya Tanzania hilo linawezekana?
The least Nape can do ni kusema huku akihatarisha maisha yake.
 
Kama anaamini serikali inavunja sheria yeye ni Mbunge alete Bungeni hoja na hata hoja ya kutokuwa na imani na waziri mkuu; chama chake chenye wabunge wengi, kisikilize hoja hizo na awashawishi wabunge wenzake waiondoe serikali madarakani. Hii ndio njia pekee ya kuonesha kuwa kweli anamaanisha anachosema na anakipa uzito unaostahili. Mbunge anapotuhumu serikali ya chama chake kuvunja sheria na kimsingi kuvunja Katiba asiishie tu hivi hivi; alete hoja ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu...

Hoja yako haina mashiko Ndugu..
Serikali ifuate Sheria.

Kwa hadhi yako niliamini wewe ni mtu wa kuamini katika Sheria Nchi ilizojiwekea..

Kuna haraka gani ya kukimbizana na Stieglers Gorge Project wakati Environmental Impact Assessment haijatoka??

Yani tu kwa vile kichaa mmoja mwenye Mamlaka anasema "hataki kucheleweshwa kwenye miradi" basi analosema liwe na liwe? HAPANA KABISA.
Tanzania ni ya Watanzania wote.

Kuna haraka ya nini kwenye mradi huu?? Hujiulizi??
Au ndio ule upigaji unataka kufanyika kama ilivyozoeleka kwenye hii miradi mikubwa?

Tunatumia 6% tu ya gesi kwenye kuzalisha Umeme kwa sasa na wataalam wanasema tukifika 25% tutakuwa tuna umeme wa kutosha kabisa. Na huku kwenye gesi tulishawekeza pesa nyingi..kujenga bomba na miundombinu mingine kwa mkopo wa China ambao tunalipa kwa gharama kubwa. Still tunataka kuingia kwenye another power generating project nyingine kubwa wakati hatuja maximize matumizi ya gesi na zaidi ya hapo ni LAZIMA tuingie kukopa tena..!!

Acheni kutumika na muwe na huruma na hii Nchi.

Nape is very correct.
Sheria lazima zifuatwe.
Kusema apeleke hoja ya kutokuwa na imani na Serikali SIO hoja kabisa..

Jaribu kulinda hadhi yako kidogo.
 
Kama anaamini serikali inavunja sheria yeye ni Mbunge alete Bungeni hoja na hata hoja ya kutokuwa na imani na waziri mkuu; chama chake chenye wabunge wengi, kisikilize hoja hizo na awashawishi wabunge wenzake waiondoe serikali madarakani. Hii ndio njia pekee ya kuonesha kuwa kweli anamaanisha anachosema na anakipa uzito unaostahili. Mbunge anapotuhumu serikali ya chama chake kuvunja sheria na kimsingi kuvunja Katiba asiishie tu hivi hivi; alete hoja ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu...
Du! We mzee ni wewe? Au kuna MTU kahaki akaunti yako?
 
Hoja yako haina mashiko Ndugu..
Serikali ifuate Sheria.

Kwa hadhi yako niliamini wewe ni mtu wa kuamini katika Sheria Nchi ilizojiwekea..

Kuna haraka gani ya kukimbizana na Stieglers Gorge Project wakati Environmental Impact Assessment haijatoka??

Yani tu kwa vile kichaa mmoja mwenye Mamlaka anasema "hataki kucheleweshwa kwenye miradi" basi analosema liwe na liwe? HAPANA KABISA.
Tanzania ni ya Watanzania wote.

Kuna haraka ya nini kwenye mradi huu?? Hujiulizi??
Au ndio ule upigaji unataka kufanyika kama ilivyozoeleka kwenye hii miradi mikubwa?

Tunatumia 6% tu ya gesi kwenye kuzalisha Umeme kwa sasa na wataalam wanasema tukifika 25% tutakuwa tuna umeme wa kutosha kabisa. Na huku kwenye gesi tulishawekeza pesa nyingi..kujenga bomba na miundombinu mingine kwa mkopo wa China ambao tunalipa kwa gharama kubwa. Still tunataka kuingia kwenye another power generating project nyingine kubwa wakati hatuja maximize matumizi ya gesi na zaidi ya hapo ni LAZIMA tuingie kukopa tena..!!
Acheni kutumika na muwe na huruma na hii Nchi.

Nape is very correct.
Sheria lazima zifuatwe.
Kusema apeleke hoja ya kutokuwa na imani na Serikali SIO hoja kabisa..

Jaribu kulinda hadhi yako kidogo.

Well said mzee...sihitaji kuongeza neno ntaharibu..asante kwa maneno mazuri..
Kuna wakati tuweke vyama pembeni tuiangalie tanzania yetu
 
Kama anaamini serikali inavunja sheria yeye ni Mbunge alete Bungeni hoja na hata hoja ya kutokuwa na imani na waziri mkuu; chama chake chenye wabunge wengi, kisikilize hoja hizo na awashawishi wabunge wenzake waiondoe serikali madarakani. Hii ndio njia pekee ya kuonesha kuwa kweli anamaanisha anachosema na anakipa uzito unaostahili. Mbunge anapotuhumu serikali ya chama chake kuvunja sheria na kimsingi kuvunja Katiba asiishie tu hivi hivi; alete hoja ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu...
Unajivua ufahamu mzee, yani wabunge hawa wanafiki wa CCM wapige kura ya kutokuwa na imani na waziri mkuu??
Unataka watu watolewe roho kwa risasi hapo dodoma tena mchana kweupe??

Cha msingi jiulize wewe, huu mradi unaouwa viumbe na miti kwenye eneo kubwa sawa na Dar nzima ni halali kweli kufanyika wakati tuna bomba la gas ambalo limetumika 6% tu???
 
Unaharibu Selous ili upate umeme, wakati unauwezo wa kupata umeme kiasi hichohicho ukitumia gesi just upto 25% ya capacity yake.
Kwa nini tusishike kimoja ambacho tayari kilikuwa kwenye pipeline, badala ya kurukia miradi ya mwaka 1947 ambayo kwanza inaweza kusababisha uharibifu wa uoto wa asili na mazingira. Bonde la Selous linategemewa na viumbe wengi sana, nao pia lazima tuwazingatie katika assesment zetu.

Hoja ya gharama ya umeme wa gesi kulinganisha na maji haina mashiko kabisa hususan kama kwa kufanya hivyo kunalenga kulinda urithi wetu na viumbe kama Selous.

Selous ina thamani kuliko unafuu wa umeme.

Twende na gesi tulinde Selous yetu, Selous ya wanyama, wadudu, miti, uoto wa asili, Mungu katupa Selous moja lakini katuwezesha kutupa mbadala wa vyanzo vya umeme, kwa nini tuiharibu Selous?!
 
Kama anaamini serikali inavunja sheria yeye ni Mbunge alete Bungeni hoja na hata hoja ya kutokuwa na imani na waziri mkuu; chama chake chenye wabunge wengi, kisikilize hoja hizo na awashawishi wabunge wenzake waiondoe serikali madarakani. Hii ndio njia pekee ya kuonesha kuwa kweli anamaanisha anachosema na anakipa uzito unaostahili. Mbunge anapotuhumu serikali ya chama chake kuvunja sheria na kimsingi kuvunja Katiba asiishie tu hivi hivi; alete hoja ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu...
Hamna kitu kwa huyo jamaa walahi
 
Kama anaamini serikali inavunja sheria yeye ni Mbunge alete Bungeni hoja na hata hoja ya kutokuwa na imani na waziri mkuu; chama chake chenye wabunge wengi, kisikilize hoja hizo na awashawishi wabunge wenzake waiondoe serikali madarakani. Hii ndio njia pekee ya kuonesha kuwa kweli anamaanisha anachosema na anakipa uzito unaostahili. Mbunge anapotuhumu serikali ya chama chake kuvunja sheria na kimsingi kuvunja Katiba asiishie tu hivi hivi; alete hoja ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu...
Well and good!!

Kila mmoja anafahamu suala la kuleta hoja binafsi bungeni na kujadiliwa ni mchakato mrefu!!

Aidha, hata wewe mwenyewe I believe unafahamu suala la eti kumpigia kura ya kutokuwa na imani na PM kwa mazingira ya bunge lililopo na mazingira ya kisiasa yaliyopo is almost IMPRACTICAL... IMPOSSIBLE!!

Now tell me, Wabunge wasiikemee serikali simply because solution ndo hiyo uliyoitoa wewe?!
 
Tatizo ni Mheshimiwa kujaribu kuwaaminisha Watanzania kwamba ni mzalendo kweli kwa kutekeleza yaliyokuwa ya Nyerere wakati kwa sasa hayana maslahi sana na tayari kuna mbadala wa hayo.....
 
Unaharibu Selous ili upate umeme, wakati unauwezo wa kupata umeme kiasi hichohicho ukitumia gesi just upto 25% ya capacity yake.
Kwa nini tusishike kimoja ambacho tayari kilikuwa kwenye pipeline, badala ya kurukia miradi ya mwaka 1947 ambayo kwanza inaweza kusababisha uharibifu wa uoto wa asili na mazingira. Bonde la Selous linategemewa na viumbe wengi sana, nao pia lazima tuwazingatie katika assesment zetu.

Hoja ya gharama ya umeme wa gesi kulinganisha na maji haina mashiko kabisa hususan kama kwa kufanya hivyo kunalenga kulinda urithi wetu na viumbe kama Selous.

Selous ina thamani kuliko unafuu wa umeme.

Twende na gesi tulinde Selous yetu, Selous ya wanyama, wadudu, miti, uoto wa asili, Mungu katupa Selous moja lakini katuwezesha kutupa mbadala wa vyanzo vya umeme, kwa nini tuiharibu Selous?!
Mlipoharibu uoto wa Asili na mazingira kule Hai kwa kulima mbogamboga mbona hamkusubiri EAR (Enviromental Assesment Report)!!!?????
 
Kama anaamini serikali inavunja sheria yeye ni Mbunge alete Bungeni hoja na hata hoja ya kutokuwa na imani na waziri mkuu; chama chake chenye wabunge wengi, kisikilize hoja hizo na awashawishi wabunge wenzake waiondoe serikali madarakani.

Hii ndio njia pekee ya kuonesha kuwa kweli anamaanisha anachosema na anakipa uzito unaostahili. Mbunge anapotuhumu serikali ya chama chake kuvunja sheria na kimsingi kuvunja Katiba asiishie tu hivi hivi; alete hoja ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu...
Kwanza huyo Nape amejitutumua tu, wapo maprofesa humo bungeni lakini hawathubutu kusema katiba inakiukwa au mambo yanapokwenda kinyume na sheria na misingi ya utawala bora.
 
Unaharibu Selous ili upate umeme, wakati unauwezo wa kupata umeme kiasi hichohicho ukitumia gesi just upto 25% ya capacity yake.
Kwa nini tusishike kimoja ambacho tayari kilikuwa kwenye pipeline, badala ya kurukia miradi ya mwaka 1947 ambayo kwanza inaweza kusababisha uharibifu wa uoto wa asili na mazingira. Bonde la Selous linategemewa na viumbe wengi sana, nao pia lazima tuwazingatie katika assesment zetu.

Hoja ya gharama ya umeme wa gesi kulinganisha na maji haina mashiko kabisa hususan kama kwa kufanya hivyo kunalenga kulinda urithi wetu na viumbe kama Selous.

Selous ina thamani kuliko unafuu wa umeme.

Twende na gesi tulinde Selous yetu, Selous ya wanyama, wadudu, miti, uoto wa asili, Mungu katupa Selous moja lakini katuwezesha kutupa mbadala wa vyanzo vya umeme, kwa nini tuiharibu Selous?!
Salute Mkuu.
 
Nape bado ana kinyongo kikali sana
Ndio maana joka la mdimu limeanza kupiga jaramba
 
Kis
Hoja yako haina mashiko Ndugu..
Serikali ifuate Sheria.

Kwa hadhi yako niliamini wewe ni mtu wa kuamini katika Sheria Nchi ilizojiwekea..

Kuna haraka gani ya kukimbizana na Stieglers Gorge Project wakati Environmental Impact Assessment haijatoka??

Yani tu kwa vile kichaa mmoja mwenye Mamlaka anasema "hataki kucheleweshwa kwenye miradi" basi analosema liwe na liwe? HAPANA KABISA.
Tanzania ni ya Watanzania wote.

Kuna haraka ya nini kwenye mradi huu?? Hujiulizi??
Au ndio ule upigaji unataka kufanyika kama ilivyozoeleka kwenye hii miradi mikubwa?

Tunatumia 6% tu ya gesi kwenye kuzalisha Umeme kwa sasa na wataalam wanasema tukifika 25% tutakuwa tuna umeme wa kutosha kabisa. Na huku kwenye gesi tulishawekeza pesa nyingi..kujenga bomba na miundombinu mingine kwa mkopo wa China ambao tunalipa kwa gharama kubwa. Still tunataka kuingia kwenye another power generating project nyingine kubwa wakati hatuja maximize matumizi ya gesi na zaidi ya hapo ni LAZIMA tuingie kukopa tena..!!

Acheni kutumika na muwe na huruma na hii Nchi.

Nape is very correct.
Sheria lazima zifuatwe.
Kusema apeleke hoja ya kutokuwa na imani na Serikali SIO hoja kabisa..

Jaribu kulinda hadhi yako kidogo.
kichaa ni yule anayepinga miradi ya umeme wetu kwa kisingizio cha mazingira. Hana tofauti na makopo ya uchafu.
 
Back
Top Bottom