beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye amesema tatizo la watu kukaimu nafasi kwa muda mrefu limekuwa kubwa, na kuhoji kama Serikali haioni haja ya kutunga Sheria ili iwe kosa kumkaimisha mtu kwa muda mrefu
Amesema, "Tutunge Sheria ifikie ukomo kwa mwisho wa kukaimu ni hapa. Mtu akipitiliza tuchukue hatua ili tuondokane na hili. Mtu anakaimu miaka 9 na hakuna mtu anachukuliwa hatua"
Amesema, "Tutunge Sheria ifikie ukomo kwa mwisho wa kukaimu ni hapa. Mtu akipitiliza tuchukue hatua ili tuondokane na hili. Mtu anakaimu miaka 9 na hakuna mtu anachukuliwa hatua"