Nape: Sasa hivi vyuma vimelegea, Rais Samia kamwaga pesa mtaani tofauti na awamu iliyopita

Linguistic

JF-Expert Member
Mar 16, 2021
3,671
8,237
Je Kauli Ya Nape Ni Ya Kweli Kwamba Vyuma Vilikaza Na Sasa Vimeachia?

Kweli vimelegea nyama imeshuka bei kutoka 6000 kwa kg Hadi 8000 kwa kg

Mafuta ya aina yote bei imeshuka Sana kuliko miaka yote hongera sana kwake
 
Nape anasema sasa hivi mtaani watu wanafurahi maana hela zimewagika na mama kaweka hela nyingi kila mtu ana sherekea tofauti na kipindi kilichopita maana vyuma vilikuwa vimekaza.

Ni kweli hela zimewagika mtaani wana JF?

Nape ampa tano Rais Samia
-
Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye amesema, Rais Samia Suluhu anafanya kazi vizuri.

“Kuna wakati tulisema vyuma vimekaza, mama amelegeza sana, akimaliza hii miaka mitano, tumuongeze na mingine mitano 2025 atupeleke mpaka 2030," amesema Nape.
 
Naomba aje huku kwetu Kijiji cha Mtakuja atuoneshe hizo hela zilizomwagika mtaani.

Watu tunaumia kuuziwa nondo 12mm shilingi 26,000 pc 1 wakati Serikali ambayo ndiyo regulator wa bei ipo na haichukui hatua kupunguza gharama za vifaa vya ujenzi😭
 
Naomba aje huku kwetu Kijiji cha Mtakuja atuoneshe hizo hela zilizomwagika mtaani.

Watu tunaumia kuuziwa nondo 12mm shilingi 26,000 pc 1 wakati Serikali ambayo ndiyo regulator wa bei ipo na haichukui hatua kupunguza gharama za vifaa vya ujenzi😭
Vitu ni bei juu ila hela ya kununua ipo.

Wakati wa jiwe vitu vilikuwa bei chee ila hela haikuwepo
 
Nape anasema sasa hivi mtaani watu wanafurahi maana hela zimewagika na mama kaweka hela nyingi kila mtu ana sherekea tofauti na kipindi kilichopita maana vyuma vilikuwa vimekaza.

Ni kweli hela zimewagika mtaani wana JF?

Nape ampa tano Rais Samia
-
Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye amesema, Rais Samia Suluhu anafanya kazi vizuri.

“Kuna wakati tulisema vyuma vimekaza, mama amelegeza sana, akimaliza hii miaka mitano, tumuongeze na mingine mitano 2025 atupeleke mpaka 2030," amesema Nape.
@nape_nnauye
@samia_suluhu_hassan
#MtanzaniaDigital
 
Back
Top Bottom