Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,697
- 12,762
Nimemsikia Nape Nnauye wakati anahojiwa na clouds kwenye msiba amesema wakati Clouds imevamiwa aliongea na Ruge na kumuuliza kama ana ujasiri wa kuliongelea suala la kuvamiwa kwa Clouds , aliongea kuwa yeye haogopi na ataliongelea hadharani bila kumuogopa mtu yeyote.
Swali ambalo najiuliza ni kwanini hili suala amelifufua kipindi hiki ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali ambalo najiuliza ni kwanini hili suala amelifufua kipindi hiki ?
Sent using Jamii Forums mobile app