Drizzy2
Senior Member
- Jun 8, 2012
- 152
- 105
huyo jamaa anakera sana sijui analiwa 0714!? silipendi linafiki sanaaa mchumia tumbo tuuUnafiki huu sijui TZ utaisha lini yeye mwenyewe kuwataja mafisadi na kukemea wenzake CCM anashindwa,hapo kaongea ili mradi aonekane.Kipindi kile yy alikuwa kimbele mbele kuzuia bunge lisirushwe live na goli lake la mkono.
Sent using Jamii Forums mobile app