* Adai kesho ulinzi upo wa kutosha.
* Awapongeza Arusha kuitosa CHADEMA.
* Asema CCM kuzoa kata zote.
* Awasihi wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura kesho.
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM amewataka wananchi kupuuza vitimbi na vitisho vya CHADEMA na badala yake wajitokeze kwa wingi kupiga kura kwa amani na utulivu.
Nape amesema kwa ujumla kampeni zimekwenda vizuri, ukiacha matukio machache ya vurugu yaliyo kuwa yakiratibiwa na CHADEMA na wafuasi wao baada ya kuvuta bangi na kunywesha vijana wao viroba.
"Nimekuwa Arusha kwa siku mbili tatu, hakuna mashaka kuwa Arusha wamechoshwa na vurugu za CHADEMA, baada ya kuangaishwa kwa miaka mitatu na CHADEMA wameamua sasa kurudisha heshima ya jiji la Arusha, hivyo nawapongeza sana"
Alipo ulizwa juu ya vitisho vya CHADEMA alisema, "ni kweli hata mie nimesikia wenzetu baada ya kuona maji ya shingo wameamua kutumia vitisho ili kuwatisha watu hasa wakina mama na wazee wasiende kupiga kura, ila nawahakikishia kuwa CCM imejipanga kuwalinda waende kupiga kura kwa amani na utulivu.
* Awapongeza Arusha kuitosa CHADEMA.
* Asema CCM kuzoa kata zote.
* Awasihi wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura kesho.
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM amewataka wananchi kupuuza vitimbi na vitisho vya CHADEMA na badala yake wajitokeze kwa wingi kupiga kura kwa amani na utulivu.
Nape amesema kwa ujumla kampeni zimekwenda vizuri, ukiacha matukio machache ya vurugu yaliyo kuwa yakiratibiwa na CHADEMA na wafuasi wao baada ya kuvuta bangi na kunywesha vijana wao viroba.
"Nimekuwa Arusha kwa siku mbili tatu, hakuna mashaka kuwa Arusha wamechoshwa na vurugu za CHADEMA, baada ya kuangaishwa kwa miaka mitatu na CHADEMA wameamua sasa kurudisha heshima ya jiji la Arusha, hivyo nawapongeza sana"
Alipo ulizwa juu ya vitisho vya CHADEMA alisema, "ni kweli hata mie nimesikia wenzetu baada ya kuona maji ya shingo wameamua kutumia vitisho ili kuwatisha watu hasa wakina mama na wazee wasiende kupiga kura, ila nawahakikishia kuwa CCM imejipanga kuwalinda waende kupiga kura kwa amani na utulivu.