Waache nyegeMbunge wa Mtama, Nape Nnauye amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameanza vizuri kwa kutoa maagizo yanayoliondoa Taifa kwenye kutumia mabavu na kujielekeza kwenye kutumia akili katika ukusanyaji kodi bila kuathiri walipakodi.
Waache nyegeMbunge wa Mtama, Nape Nnauye amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameanza vizuri kwa kutoa maagizo yanayoliondoa Taifa kwenye kutumia mabavu na kujielekeza kwenye kutumia akili katika ukusanyaji kodi bila kuathiri walipakodi.
Yuda aliewachoma wenzake na kufukuzwa chama chini ya utawala wa JPM ilimradi atetee kitumbua chake.
Huyu jamaa si wakuaminika hata kidogo. Alipinga taratibu za uwekezaji pale jengo la vijana alipopatiwa apartment akatulia.
Nape hawezi kuupenda utawala uliopita baada ya kulazimishwa kurejesha Toyota V8, Cruiser mkonga na fusso mali za chama alizojimilikisha kihuni yeye na genge lake.
Ndugu zangu chini ya huo utawala aliousema wa mabavu huyu ndie alietoka na tamko kinywani kwake kupiga marufuku bunge live. Hapa alipenda cheo kuliko hatma ya kesho.
Mama Samia muangalie kwa jicho la umakini huyu mnyakyusa wa Busekelo. Ni sigara kali inayowashwa mbele na nyuma.
Hawa ni vijana hatari waliowahi kuamini wa katika nyadhifa mbali mbali za chama na serikalini lakini wasioridhika na walichopatiwa.
Wapo individuals ambao hawajawahi kutoka nje ya mstari wa kile wanachokiamini... consistency.Sio leo unaomba msamaha kwa kuwa na msimamo Halafu kesho unaurudia msimamo ambao uliuombea msamaha!Legacy hailiwi. Unadhani familia yake itakula legacy. Kumbuka siasa ni ajira na huwezi kuchezea ajira. Hata upinzani hawatafuti legacy bali ajira, wanapoipata ajira kama ubunge wanatakiwa kuishikilia vizuri.
Legacy ni kwa washangiliaji. Wewe umeajiriwa na unafuata unayoambiwa na bosi katika mwelekeo wa kazi. Hayo ya kuinamishwa siyo sehemu ya utaratibu wa kazi. Labda wewe utueleze huko uliko mnafanya hivyo. Hata hivyo, kama ni raha zao kuinamishwa wewe inakuhusu nini au unaona wivu!Wapo individuals ambao hawajawahi kutoka nje ya mstari wa kile wanachokiamini... consistency.Sio leo unaomba msamaha kwa kuwa na msimamo Halafu kesho unaurudia msimamo ambao uliuombea msamaha!....
Legacy ni kwa washangiliaji. Wewe umeajiriwa na unafuata unayoambiwa na bosi katika mwelekeo wa kazi. Hayo ya kuinamishwasiyo sehemu ya uataratibu wa kazi. Lbda wewe utueleze huko uliko mnafanya hivyo. Hata hivyo, kama ni raka zao kuinamishwa wewe inakuhusu nin
Sikujua kama najadili na mtu mwenye uelewa wa aina hii yako.Itoshe kusema kwaheri....Legacy ni kwa washangiliaji. Wewe umeajiriwa na unafuata unayoambiwa na bosi katika mwelekeo wa kazi. Hayo ya kuinamishwasiyo sehemu ya uataratibu wa kazi. Lbda wewe utueleze huko uliko mnafanya hivyo. Hata hivyo, kama ni raka zao kuinamishwa wewe inakuhusu nini!
Sikujua kama najadili na mtu mwenye uelewa wa aina hii yako.Itoshe kusema kwaheri....
Shukrani!Sikujua kama najadili na mtu mwenye uelewa wa aina hii yako.Itoshe kusema kwaheri....