Mtu makini asingefanya hivi. Nape ni waziri wa serikali hii. Si busara kupingana na serikali anayoifanyia kazi yeye mwenyewe. Yeye na makonda na wenzao ni organ kama za mwili. Mkono wa kushoto ukikosea jicho haliwezi kuwa tofauti maana vyote vinafanya kazi moja. Alichofanya ni kuonyesha chuki ya moja kwa moja kwa RC na pia kumdhalilisha aliemteua. Ni dharau na Nape anatakiwa ajiuzuru mara moja.Nape kaongea kama kiongozi makini. Hakika ameweka unafiki wa kichama pembeni, amempinga Bashita waziwazi.
Asante Nape endelea kubaki na fahamu zako kwani kuna kipindi unajivua ufahamu kutetea chama
Bora wapingane ili tupate Tanzania tunayoitaka.kwani hakuna lisilowezekana chini ya jua.Nape anajikaanga
1. Big insubordination kumlaumu mtendaji aliyekuwa chini yako kwenye line of authority..... Kichwa kuulaumu mkono
Mko serikali moja Nape kaeni chemba umuonye dogo kama watu wazima
2. Beef na Makonda linamshusha kwakuwa Nape is more senior na Makonda is nothing compared to Nape.
3. Tatizo la madawa lipo yeye alijaribu kufanya nini better than what stupid Makonda did?
4. Kutajwa kwenye clips za akina Steve Nyerere pamoja na ukaribu wake na akina Ubaya/Wema ni jipu.
5. Kumpinga mjukuu wa babu (mdekezwa makond) itamgharimu.
6. Mkuu wa ichi alimsapoti manenepa/makonda sasa yeye ni kama anapingana na mkuu wa nchi.
7. Utendaji wake Nape hauendani na kasi ya JPM bado yuko kwenye cool and nice JK zone
8. Huu sio utawala wa kutumia vyombo vya habari kuiponda serikali ama utendaji ataitwa msaliti.
Maoni yangu tu I might be wrong ila kadi nyekundu inaweza kumfuata
At least hawakutangaziwa ............ Kesho kutwa njooni police!!Kwaulize Philippines kama walifanya kimya kimya
Naiona tofauti ya Nape katibu mwenezi wa CCM na Nape mmoja wa mawaziri katika serikali ya awamu ya tano. Wasiwasi wangu ni kuwa sina uhakika sana kama mteuzi wake wakati akimteua alitaka pawe na hiyo tofauti!Leo nape mzuri kwenu??? Ha ha ha haki ya mungu ishi Tanzania ujionee maajabu ya watanzania,,, kauli zilizomfanya nape kuchukiwa na ukawa
(1) goli LA mkono-iliwatoa povu sana wapinzani wa nchi hii
(2)tumesitisha kurushwa kwa matangazo ya moja kwa moja ya vikao vya bunge-hapa mpka maandano walitishia kuandamana..
Kirefu cha TFF- aaaah wazir hajua kirefu cha tff huu ni mzigo, na ndio atakua wa kwanza kutimuliwa na rais.
Kauli iliyofuta yte....mabaya yake
Kumuharibia msanii brand yake kisa unamtangaza anatumia au kuuza unga sio jambo jema,,, ha ha ha ha ha hapa yooooooote wamemsafisha wenyewe... Duh nyie ni hatar kabsa
Jifunzen kukuna panapowasha hasa ukiwa na kucha
Yes! Akikosea nitasema kakosea. Au unadhani tunakumbatia njaa kiasi hata mtu akifoji cheti tunamsifia kuwa ni mpambanaji?kuanzia lini??
kesho mtamgeuka nyie
Nape ni kijana wa chadema?Vijana wa Chadema kama kawaida wamejikita kupotosha kauli
Uko sahihi sana kuwa serikali inapaswa kuwa TIMU, kuwa wanaweza kukubaliana kwa kutokukubaliana. Lakini awamu hii itawapoteza wengi wazuri ikiwa atacheza kama timu na mwisho wa siku unatumbuliwa, hivyo umefika wakati kila mtu kuilinda taswira yake katika jamii kwa ajili ya kesho.Kaongea kama mpumbavu wa kawaida. Mtu makini asingefanya hivi. Nape ni waziri wa serikali hii. Si busara kupingana na serikali anayoifanyia kazi yeye mwenyewe. Yeye na makonda na wenzao ni organ kama za mwili. Mkono wa kushoto ukikosea jicho haliwezi kuwa tofauti maana vyote vinafanya kazi moja. Alichofanya ni kuonyesha chuki ya moja kwa moja kwa RC na pia kumdhalilisha aliemteua. Ni dharau na Nape anatakiwa ajiuzuru mara moja.
Yu no wot, zat dei Mtaja Majina alivyotaja majina, Mteuzi alikuwa upande wake na ndio maana siku ya kuapisha Wateuliwa alimsifia Mtaja Majina ikiwa ni dalili ya kumuunga mkono kwa NIA na NJIA.Kaachana na Uvuvuzela eeeeee
Unataka tusimsifie hata kama kaongea jambo la maana? Hizi akili za ndio mzee kila kitu zipo ccm tu wengine huku tunajitambuaBavicha wamechanganyikiwa mpaka Nape amekuwa kama shujaa wao.Kuna watu walimuita vuvuzela,leo wanamsifia,Bavicha mnagua ugonjwa gani?
Jembe la watanzania wapenda haki ukweli na weledi unaopaswa kwa kiongozi. Kaongea kama kiongozi kwa janaKwa hivyo Nape leo ni jembe kwa chadema?