MduduWashawasha
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 1,653
- 601
Muanzisha thread unataka kuquestion nini hasa ?
Nape anajikaanga
1. Big insubordination kumlaumu mtendaji aliyekuwa chini yako kwenye line of authority..... Kichwa kuulaumu mkono
Mko serikali moja Nape kaeni chemba umuonye dogo kama watu wazima
2. Beef na Makonda linamshusha kwakuwa Nape is more senior na Makonda is nothing compared to Nape.
3. Tatizo la madawa lipo yeye alijaribu kufanya nini better than what stupid Makonda did?
4. Kutajwa kwenye clips za akina Steve Nyerere pamoja na ukaribu wake na akina Ubaya/Wema ni jipu.
5. Kumpinga mjukuu wa babu (mdekezwa makond) itamgharimu.
6. Mkuu wa ichi alimsapoti manenepa/makonda sasa yeye ni kama anapingana na mkuu wa nchi.
7. Utendaji wake Nape hauendani na kasi ya JPM bado yuko kwenye cool and nice JK zone
8. Huu sio utawala wa kutumia vyombo vya habari kuiponda serikali ama utendaji ataitwa msaliti.
Maoni yangu tu I might be wrong ila kadi nyekundu inaweza kumfuata
na nyie dr slaa mulimwitaje vile?Bavicha wamechanganyikiwa mpaka Nape amekuwa kama shujaa wao.Kuna watu walimuita vuvuzela,leo wanamsifia,Bavicha mnagua ugonjwa gani?
Leo Nape ni rafiki wa bavicha...kweli siasa za Tanzania kazi sana na hatuna upinzaniHapepesi macho anamkosoa hata Kauli za Magifuli
Hili nenoWakimtumbua kwenye ukuu wa mkoa,wampeleke itikadi na uenezi akamsaidie Polepole kukiimarisha chama
Hapana RC alikuwa very right. Hawa watu ni kuwaanika ili waache. Ukienda chini kwa chini huwezi kushinda watakuumiza na hidden networks zao zilizoimara. Alichofanya ni kumtaarifu kila mmoja wetu kuwa hawa ni wale walio na mtandao uliosababisha ndugu zetu wanyongwe nje!
Duh kumbe sio peke yangu!Mtatupa update maana wengine TV hatuna
Hongera Makonda, alikosekana MTU wa kulianzisha hili jambo.Duh kumbe sio peke yangu!
Watu wanakusikiliza unaongea nn??kama LA haki na busara tunalichukua. Ndo tunavyofanya watu timamuKwa hivyo Nape leo ni jembe kwa chadema?
Kwaulize Philippines kama walifanya kimya kimya
Hawatangazi majina, dealers wanakuwa tracked kimyakimya then ghafulale Kaboom; unapigwa risasi kwishnei!Kwaulize Philippines kama walifanya kimya kimya
chadema ni kama wale wanaoenda kwenye malumbano ya dini wanachukua msitari mmoja wa biblia wanaanza kuujengea hoja badala ya kusoma kitabu chote na kuelewa
huyu Nape asijifanye mtetezi wa wananchi mbona kwenye sheria ya habari hakufanya hivyo
"Samaki aliyefunga mdomo wake kamwe hawezi kunaswa na ndoano ya mvuvi. Jifunze kufunga mdomo unapokuwa katikati ya wabaya wako"-Waziri wa Habari,Sanaa na Utamaduni Mhe. Nape Nnauye - Oktoba 11, 2016
Hii kauli nimeipenda sana na nimejifunza kitu.
Ile ni biashara na burudani ya watu kwa hiyo ni maslahi ya watu yameguswa, swala ni mbinu mbovu aliyoichagua kuitumia Bashite!Hii ishu ya madawa naona Makonda amegusa maslahi ya watu