Nape Nnauye: Ningependa bunge liwe live wananchi waone mijadala

Yeye si ndiyo aliepeleka huo mswada bungeni kipindi akiwa waziri wa habari bunge nisiwe live leo nini kimemkumba tena masikini😌😔😔
 
Nape Nnauye alikuwa mmoja kati ya panel iliyokuwa ikijadili mwelekeo wa serikali ya Rais Samia, akiwa pamoja na Dr. Marcus pale Azam Tv.

Nape alitakiwa kujibu shutuma ya Dr.Marcus kuwa yeye Nape ni moja ya watu waliokuwa mstari wa mbele kukandamiza upatikanaji wa habari kwa kuanzisha sheria ya vyombo vya habari na bunge live.

Nape amejibu kwamba lile lilikuwa jambo la bunge sio yeye. Akaongeza hata yeye angependa bunge liwe live ili wananchi waone mijadala ya wabunge.

My Take
Kumekucha ndugu msomaji,hii ni kabla jogoo hajawika
Kweli nape ni nyumbu
 
Duh rangi halisi zinaonekana. Aisee anyway nani aliyepeleka mswada bungeni kupigilia msumali bunge live?
 
Nape Nnauye alikuwa mmoja kati ya panel iliyokuwa ikijadili mwelekeo wa serikali ya Rais Samia, akiwa pamoja na Dr. Marcus pale Azam Tv.

Nape alitakiwa kujibu shutuma ya Dr.Marcus kuwa yeye Nape ni moja ya watu waliokuwa mstari wa mbele kukandamiza upatikanaji wa habari kwa kuanzisha sheria ya vyombo vya habari na bunge live.

Nape amejibu kwamba lile lilikuwa jambo la bunge sio yeye. Akaongeza hata yeye angependa bunge liwe live ili wananchi waone mijadala ya wabunge.

My Take
Kumekucha ndugu msomaji,hii ni kabla jogoo hajawika
Madaraka na ukweli huwa hawasafiri njia moja!! lazima waachane tu!!
 
Wanasiasa hawa ni kama kimiminika huchukua umbo la chombo husika.
 
Back
Top Bottom