johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,571
Mbunge mteule wa jimbo la mtama huko Lindi Nape Nnauye amesema asilaumiwe yeye kwa kupitishwa bila kupingwa kwani sheria hiyo imekuwepo kabla yeye hajawa Mbunge.
Zaidi ya hapo ni kuoneana wivu tu, ametweet Nape.
My take: Nape yuko sahihi yeye ni mnufaika wa sheria dhaifu.
Maendeleo hayana vyama!
Zaidi ya hapo ni kuoneana wivu tu, ametweet Nape.
My take: Nape yuko sahihi yeye ni mnufaika wa sheria dhaifu.
Maendeleo hayana vyama!