vi tangu dunia imeumbwa ccm washawahi kumwajibisha kiongozi wao yoyote au ndo maneno ya mfa maji???????
"wananchi wanahitaji watendaji wanaofanya kazi, ukikosa kuwajibika kwa wananchi watawajibisha" mwisho wa kunukuu
nape ameyasema hayo baada ya diwani mwingine mwanza kukihama chama cha mapindizi
akiongea kwa kujiamini amesema ccm ni imara haitetereki na itadumu milele kama wewe ni mwanaccm na unaongoza wananchi ukakosa uhadirifu watakuwajibisha ndo maana madiwani wa arusha mwanza wanahama. Wangebaki ccm rungu al chama lingewashukia
nape rudi ukajifikilie upya, usichezee akili zetu, kama uwezo wako wa kufikiri umestack, omba rikizo ukapumzike. Chama kinakufa wewe umelala, unakuja na kauli za kukenjeri
source:wapo
"Wananchi wanahitaji watendaji wanaofanya kazi, ukikosa kuwajibika kwa wananchi watawajibisha" Mwisho wa kunukuu
Nape ameyasema hayo baada ya diwani Mwingine Mwanza kukihama chama cha mapindizi
Akiongea kwa kujiamini amesema CCM ni IMARA haitetereki na ITADUMU milele kama wewe ni mwanaCCM na unaongoza wananchi ukakosa uhadirifu watakuwajibisha ndo maana madiwani wa ARUSHA mwanza wanahama. Wangebaki CCM Rungu al chama lingewashukia
Source:Wapo
Nape akihamia CHADEMA ataiingiza nchi kwenye machafuko...wanachama wa CDM hawamtaki hata kumsikia...Yeye pia yupo mbioni kuhamia CHADEMA. Stay tuned!
Du hizi thread haziwafurahishi kabisa Ritz Rejao pamoja na Tume ya Katiba wote wapo kwenye jukwaa la mapenzi hapa hawafikishi mguu tena
"Wananchi wanahitaji watendaji wanaofanya kazi, ukikosa kuwajibika kwa wananchi watawajibisha" Mwisho wa kunukuu
Nape ameyasema hayo baada ya diwani Mwingine Mwanza kukihama chama cha mapindizi
Akiongea kwa kujiamini amesema CCM ni IMARA haitetereki na ITADUMU milele kama wewe ni mwanaCCM na unaongoza wananchi ukakosa uhadirifu watakuwajibisha ndo maana madiwani wa ARUSHA mwanza wanahama. Wangebaki CCM Rungu al chama lingewashukia
Source:Wapo
Nape hana tofauti na yule waziri ya habari wa Iraq enzi zileee za vita! Hana pa kujishika alichopaki nacho ni mdomo tu wa kujitetea