Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,203
- 4,677
•Utotoni ukiona mtu anatishia sana kwa maneno tulikuwa tukimpuuza maana mfanyaji HUSEMA mara moja na KUTENDA, maneno mengi ya ICC, kila siku ni vitisho vya kitoto.
Kura na maamuzi yanafanywa na watanzania sio mahakama ya kimataifa ya Kesi za Jinai!•
Nape Nnauye
Kura na maamuzi yanafanywa na watanzania sio mahakama ya kimataifa ya Kesi za Jinai!•
Nape Nnauye