palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,455
JAJI wa Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, Aloyce Mujulizi, ameamuru Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, afikishwe mahakamani kwa madai kwamba anatoa matamshi yaliyoingilia uhuru wa mahakama.
Jaji Mujulizi alitoa uamuzi huo jana mara baada ya kusikiliza hoja iliyowasilishwa mahakamani hapo na Wakili Method Kimomogoro anayemtetea Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, ambaye alidai kuwa Nape amesema kwamba ana uhakika CCM itashinda katika kesi hiyo.
CHANZO: TANZANIA DAIMA
Jaji Mujulizi alitoa uamuzi huo jana mara baada ya kusikiliza hoja iliyowasilishwa mahakamani hapo na Wakili Method Kimomogoro anayemtetea Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, ambaye alidai kuwa Nape amesema kwamba ana uhakika CCM itashinda katika kesi hiyo.
CHANZO: TANZANIA DAIMA