Nape Nnauye: Kumbe kulikuwa na Orodha ya Wahuni chamani? Natamani sana kuwajua Wahuni Waliopona

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
82,752
139,553
Katibu mwenezi wa CCM mstaafu na mbunge wa Mtama Nape Nnauye ameshangaa taarifa iliyotolewa na mrithi wake chamani ambaye kwa sasa ni mbunge wa viti maalumu komredi Polepole kwamba Wahuni ndani ya chama hawajaisha.

Nape amesema anatamani kuwajua Wahuni Waliopona.

Sabato njema.
 
Katibu mwenezi wa CCM mstaafu na mbunge wa Mtama Nape Nnauye ameshangaa taarifa iliyotolewa na mrithi wake chamani ambaye kwa sasa ni mbunge wa viti maalumu komredi Polepole kwamba Wahuni ndani ya chama hawajaisha.

Nape amesema anatamani kuwajua Wahuni Waliopona.

Sabato njema.
Kama ni wahuni tu hata siye tusookuwa chamani tunakutajieni, tuanze na mzee wa bakora na mwenzie, njo usajili teaM19,walienea Hadi mtaa wa kijani, slow &co.
 
Katibu mwenezi wa CCM mstaafu na mbunge wa Mtama Nape Nnauye ameshangaa taarifa iliyotolewa na mrithi wake chamani ambaye kwa sasa ni mbunge wa viti maalumu komredi Polepole kwamba Wahuni ndani ya chama hawajaisha.

Nape amesema anatamani kuwajua Wahuni Waliopona.

Sabato njema.
Makatibu waenezi wastaafu wanapoparuana. Sisi tushike jembr tukalime.
 
Katibu mwenezi wa CCM mstaafu na mbunge wa Mtama Nape Nnauye ameshangaa taarifa iliyotolewa na mrithi wake chamani ambaye kwa sasa ni mbunge wa viti maalumu komredi Polepole kwamba Wahuni ndani ya chama hawajaisha.

Nape amesema anatamani kuwajua Wahuni Waliopona.

Sabato njema.
Orodha ile niliwahi kuichungulia ila duh.
1 Abdul Rahman Kinana
2 Nape Mnauye
3 January Makamba
4 Kingunge Ngumbale
5 Sofia Simba
6 Immanuel Nchimbi
7 Mwigulu Mchemba
Na kadha wa kadha.
List ilikuwa na majina zaidi ya 80 na baadhi yao ni marais wastaafu bara na visiwani.
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom