johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,873
Katibu mwenezi wa CCM mstaafu na mbunge wa Mtama Nape Nnauye ameshangaa taarifa iliyotolewa na mrithi wake chamani ambaye kwa sasa ni mbunge wa viti maalumu komredi Polepole kwamba Wahuni ndani ya chama hawajaisha.
Nape amesema anatamani kuwajua Wahuni Waliopona.
Sabato njema.
Nape amesema anatamani kuwajua Wahuni Waliopona.
Sabato njema.