Kumbe ni Kingune alishughulikiwa?? Tulijua ni uzee tuOrodha ile niliwahi kuichungulia ila duh.
1 Abdul Rahman Kinana
2 Nape Mnauye
3 January Makamba
4 Kingunge Ngumbale
5 Sofia Simba
6 Immanuel Nchimbi
7 Mwigulu Mchemba
Na kadha wa kadha.
List ilikuwa na majina zaidi ya 80 na baadhi yao ni marais wastaafu bara na visiwani.
Hii inaitwa Mbwa kala MbwaNape naye ni sehemu ya wahuni tena yeye ni kitoroli chao kabisa..
Ile movie ya kutembea kwenda ikulu kuomba samahani nayo ilikuwa ametumwa na wahuni masikini marehemu naye akachukulia easy kumbe alikuwa amesakiziwa dog......
Hamna kitu. Wanatofautiana kwa mengi lakini Kwenye maslahi wanafanana sanakwa mnyukano uliopo ccm soon wanagawana mbao
Marehemu aliacha masakara wengi sana, mliamini yeye ndio yule au angojwe mwingine..Orodha ile niliwahi kuichungulia ila duh.
1 Abdul Rahman Kinana
2 Nape Mnauye
3 January Makamba
4 Kingunge Ngumbale
5 Sofia Simba
6 Immanuel Nchimbi
7 Mwigulu Mchemba
Na kadha wa kadha.
List ilikuwa na majina zaidi ya 80 na baadhi yao ni marais wastaafu bara na visiwani.
Kila nikisikia Huyu kiumbe naona pichwa kichwani akikata mbuga lango la ikulu .nadhani hata yeye akiiangalia hasira zinaeudi squre one plus kujichekeshachekesha. WajameniHivi hakumbuki alivyotembezwa kwa miguu kuingia Ikulu
Nape Awasiliane na Polepole atampa OrodhaKatibu mwenezi wa CCM mstaafu na mbunge wa Mtama Nape Nnauye ameshangaa taarifa iliyotolewa na mrithi wake chamani ambaye kwa sasa ni mbunge wa viti maalumu komredi Polepole kwamba Wahuni ndani ya chama hawajaisha.
Nape amesema anatamani kuwajua Wahuni Waliopona.
Sabato njema.
NAPE atagombea urais chadema 2025.Hapo anaandaliwa 'mhuni' mmoja atoswe ili akapeperushe bendera ya upinzani 2025.
Kama ilishandikana kugawana 5 years ago, mkui hilo halitaweza tokea tenakwa mnyukano uliopo ccm soon wanagawana mbao
MembeKumbe; hawa ndo waliopona. Tutajie walipotezwa.
Mhuni ni. 1 alitwaliwa tar 17.03.2021Katibu mwenezi wa CCM mstaafu na mbunge wa Mtama Nape Nnauye ameshangaa taarifa iliyotolewa na mrithi wake chamani ambaye kwa sasa ni mbunge wa viti maalumu komredi Polepole kwamba Wahuni ndani ya chama hawajaisha.
Nape amesema anatamani kuwajua Wahuni Waliopona.
Sabato njema.
Vita vya panzi hivi.....Katibu mwenezi wa CCM mstaafu na mbunge wa Mtama Nape Nnauye ameshangaa taarifa iliyotolewa na mrithi wake chamani ambaye kwa sasa ni mbunge wa viti maalumu komredi Polepole kwamba Wahuni ndani ya chama hawajaisha.
Nape amesema anatamani kuwajua Wahuni Waliopona.
Sabato njema.