Nape Nnauye: Kiroboto ulishindwa akiwepo godfather, utaweza leo?

Baada ya Polepole kuongea na Waandishi wa Habari. Mbunge wa Mtama Nnape Nnauye, ameandika kwenye Mitandao ya kijamii;


"Aaaah kiroboto🤣🤣ulishindwa akiwepo godfather utaweza leo?!!? Kina wenyewe shekh! Lakini ni kawaida punda roho ikiwa inaacha mwili hutupa mateke 🎼NONSENSE!!"
View attachment 2040636
View attachment 2040592
Kwani yeye Nape wakati wa kupigania uhuru kuna mtu wa ukoo wake alishiriki. Baba yake alujiunga na TANU baada ya uhuru tena alipotaka kujiunga na jeshi hivyo hawezi kudai yeye ni mmojawao wa wenyewe. Tena afadhali hata ya Mbowe anaweza kudai haku zaidi CCM naana baba yake aliipigania TANU wakati wa uhuru.

Wanaoweza kudai ndio wenye chama ni wake waasisi 17 na wale wakiijiunga na TANU wakati wa kupigania uhuru wengine wote waliojiunga baada ya uhuru sio wenyewe.
 
Ndiyo mlidhani hizi sheria za kipuuzi zitaishia tu kuwaumiza wapinzani,??

Mlishaambiwa "wakimalizana na sisi watawageukia na nyie"
Na bado, Hadi waliokuwa kikwazo kipatikana katiba mpya mjitokeze hadharani na mtubu madhambi yenu🤔.
 
Baada ya Polepole kuongea na Waandishi wa Habari. Mbunge wa Mtama Nnape Nnauye, ameandika kwenye Mitandao ya kijamii;


"Aaaah kiroboto🤣🤣ulishindwa akiwepo godfather utaweza leo?!!? Kina wenyewe shekh! Lakini ni kawaida punda roho ikiwa inaacha mwili hutupa mateke 🎼NONSENSE!!"
View attachment 2040636
View attachment 2040592
Hao wenyewe ni kina nani? Huyu naona anazeeka vibaya...Ajue mbele yake kuna kiza kinene asijione amefika, safari bado inaendelea akina sisi ni wabishi sana tuking'ang'ana haliwaki jua wala hainyeshi mvua mpaka unabii utimie...Hakuna mwenye mali yake mwenyewe wadau tuko wengi na baba yetu alitupa wosia, ukiona watu wana resort kwenye weak statements kama hizi ujue hata kujiamini hakupo...Time is a good healer...Tuijenge nchi yetu, tuipende tuache kupimana ubavu kwa maslahi binafsi...Tanzania ni ya watanzania wote kilicho na wenyewe kinatuhusu nini sisi watanzania?
 
Ila CCM hawajua kinachoendelea mtaani sio? Wafanye tafiti kuna chuki sana inajengeka...watakuja washangae akitokea mwanasiasa ana nguvu...watashangaa sana watu kama kina Nnape. Just someone to ignite
Mwanasiasa mwenye nguvu bila backup ya MFUmo Ni KAZI BURE.CCM PLUS MFUMO hakuna chama wa mwanasiasa anaweza ishinda CCM
 
Hiki kipande cha sentensi, "kina wenyewe", kitamtesa sana Nape kwenye siasa za Tanzania na siasa za CCM. Take that to the bank.
 
Fuentte, tuna watu hawajui, labda wanajua wajibu wao lakini hawataki kutekeleza.

Katiba mpya itakuwa, lazima iwe na kipengele cha kuwaondoa madarakani watu wasio fanya kazi kuanzia mwenyekiti wa Mtaa hadi Rais. Napendekeza tuwe na katiba kama ya Switzerland, kila kitu muhimu kinapigiwa kura, Rais akizingua,akiwa hana uwezo anaondolewa fasta, kwa kutokuwa na imani naye.

Rais akifa Madarakani tuwe na uchaguzi mpya, serikali ya mpito. Yote yatakuwa kwenye katiba mpya. Hiyo ndio real, proper democracy.
Sure. Makamu akae siku 90 tu. Then uchaguzi mpya ufanyike. Kila kura ni kura ya maoni(referendum), yaani namna ya watu kuwasilisha maoni yao ya namna ya kuongozwa. Hakuna kuokota embe dodo tena.
 
Hapa ndipo inapoonekana tofauti kati ya Nape na Polepole, wakati Nape anajiweka mbele kila wakati ili akumbukwe kwenye ufalme wa ulaji aliotolewa.

Polepole anasema anachokiamini bila kujali kama anachosema mbele ya safari kitamgharimu nafasi aliyonayo bungeni, kwasasa Nape ndie kiongozi wa kundi la wachumia tumbo wa nchi hii.
Hakuna mwana CCM mtetezi wa wananchi, wakishatemeshwa tonge ndivyo wanavyokuwaga, unafiki umewajaa
 
Ni kama kwa wananch waliochagua CDM wanaonwa kama wakimbizi hawapaswi hata kupelekewa huduma za maendeleo.
Hao wenyewe ni kina nani? Huyu naona anazeeka vibaya...Ajue mbele yake kuna kiza kinene asijione amefika, safari bado inaendelea akina sisi ni wabishi sana tuking'ang'ana haliwaki jua wala hainyeshi mvua mpaka unabii utimie...Hakuna mwenye mali yake mwenyewe wadau tuko wengi na baba yetu alitupa wosia, ukiona watu wana resort kwenye weak statements kama hizi ujue hata kujiamini hakupo...Time is a good healer...Tuijenge nchi yetu, tuipende tuache kupimana ubavu kwa maslahi binafsi...Tanzania ni ya watanzania wote kilicho na wenyewe kinatuhusu nini sisi watanzania?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom