Kwani yeye Nape wakati wa kupigania uhuru kuna mtu wa ukoo wake alishiriki. Baba yake alujiunga na TANU baada ya uhuru tena alipotaka kujiunga na jeshi hivyo hawezi kudai yeye ni mmojawao wa wenyewe. Tena afadhali hata ya Mbowe anaweza kudai haku zaidi CCM naana baba yake aliipigania TANU wakati wa uhuru.Baada ya Polepole kuongea na Waandishi wa Habari. Mbunge wa Mtama Nnape Nnauye, ameandika kwenye Mitandao ya kijamii;
"Aaaah kiroboto🤣🤣ulishindwa akiwepo godfather utaweza leo?!!? Kina wenyewe shekh! Lakini ni kawaida punda roho ikiwa inaacha mwili hutupa mateke 🎼NONSENSE!!"
View attachment 2040636
View attachment 2040592
Wanaoweza kudai ndio wenye chama ni wake waasisi 17 na wale wakiijiunga na TANU wakati wa kupigania uhuru wengine wote waliojiunga baada ya uhuru sio wenyewe.