johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,832
- 141,749
Hashim Rungwe huyu aliyekuwa Nccr mageuzi?.......acha utani bhana!Hashim Rungwe
Hashim Rungwe huyu aliyekuwa Nccr mageuzi?.......acha utani bhana!Hashim Rungwe
ya kumwibia kura Lowassa 2015 na Slaa 2010 hajatubu, wala hatatubu na mwisho wake ni ziwa la motoSisi wakristo ungamo letu linalazimisha kutaja dhambi zote unazozikumbuka na mwisho tunasema ".....kwa dhambi hizi na nyingine zote nisizozifahamu ..." Kisha Padre anakutangazia msamaha na kukutaka usitende dhambi tena.
Kwenye kutaja dhambi unaweza kulazimika kuwataja na wengine mlioshirikiana kutenda dhambi hizo na hapo ndio napata wasiwasi kwamba huenda kukawa na foleni endelevu ya watakaomba msamaha.
Chukulia mfano kama William alikuwa wa kwanza kukiri kosa na kuomba msamaha atashindwa kuwataja aliokuwa anaongea nao kweli?!
Mbarikiwe sana.
Maendeleo hayana vyama!
Both had fake smiles! Aliyeomba msamaha hakumaanisha na aliyesamehe pia hakumaanisha. Mungu ibariki Tz, Mungu ibariki Afrika.
Hahahahaha........umekana kauli au umetengua?Dr Magufuli siyo mwanasiasa ni " Mtumishi" wa umma.......wapendwa wananielewa hapa!
Hawa akina Nape, Zitto , Mbowe na wanaofanana nao ndio wanasiasa!K
Hahahahaha........umekana kauli au umetengua?
Nyerere hakupenda sifa?!Nyerere hakupenda glorification kwa kiasi hiki, cha Jpm, Hassan mwinyi iko down to earth leader, Pinda n.k huyu Raisi anataka sifa kupitiliza
Si kuajiriwa tu,hata kujiajiri hawezi.Yaani Nape kuajiriwa tena...au unatia tu??
Ushamba ni mzigo. Kinachoonekana nikujaribi kuisambaratisha ile ngome ya BM hasa kuelekea 2020.Hii drama inahitaji ujitoe ufahamu kweli kweli! Hivi ukiambiwa mshamba kwa mfano, then ukaambiwa sorry! Inanaana unakuwa sio mshamba tena!
Wapiga zumari kama wewe ni watu very funny kwa jina linguine ni comic characters sasa wapinzani wajiandae kisaikolojia kwa lipi? Kwani wapinzani wao wanapenda watu wazulumiwe?Wapinzani mjiandae kisaikorojia na kule kusini korosho lishapatiwa uvumbuzi mh alikubari kukurupuka sasa katuachia vijana tupige pesa na wakulima wetu oya fursa hiyo ya korosho kusini sasa ndio habari ya mujini mh. Raisi hongera kwa ili la korosho nakupa tano safi sana Acha bro Nape arudi na tutarudi wengi
Who is kamanda? CCM hoooooyeeee!!!! Oohh wataisoma namba eeh!!! Wabongo bwana hadi raha!!!!!Mbona makamanda mmekasirishwa sana na kitendo cha Nape kuomba msamaha?!!
Wanasiasa “wawili watatu” wanaobadili gia angani kila siku hawawakilishi mawazo na mitazamo ya “watanzania” wooote hapa.Hii inaonesha Tanzania tuna watu wa wanamna gani! Jinsi gani watu walivyo vigeugeu wasiyo jua wanacho simamamia na hao ndiyo viongozi wetu, dah! Nawaonea huruma sana mnao panga foleni kwenda kuwachagua hao wanao itwa viongozi.
Sasa Mkuu, CHADEMA hapo wanahusika vp??Baada ya lile sakata la nape na makonda. Nape ghafla akaanza kuonekana shujaa na anafaa hata kugombea urais.nyuzi nyingi zilianzishwa kuonesha ushujaa wake na umuhimu wake ndani ya CCM.
nliwahi sema nape ni mpuuzi opportunist kama wengine.hajawahi kuwa shujaa na asingeanza muda huo kuwa shujaa.ni mwendelezo wake wa siasa za chuki,utoto na kutumika.
Akaja membe kuonekana kuwa ni shujaa na anafaa kugombea urais.nikasema membe huyu huyu ninayemfahamu mimi?kilaza asiyejifahamu.akapambwa kwa nyimbo za sifa na mapambio.
Shushushu wa mkubwa anakuja kudukuliwa kizembe anaongelea mambo ya mwenyekiti wake kwenye simu kama kilaza mmoja wa huko samvula chole,mbwinde au kazamgongo asiye na ABC za ushushushu.
Akaja makamba kuonekana shujaa na smart baada ya yeye kuanza harakati zake mitandaoni na siasa za kipwani.za mipasho n.k alipotumbuliwa kama jipu umaarufu wake ukazidi.
Makamba january akakumbuka kurudi kuomba radhi kwa machozi na manung'uniko kuwa alikuwa anahadaiwa tu. Karejeshwa ushujaa wake siusikii tena.
Nape naye kaenda omba msamaha...hawa wote sijajua makosa yao...kama january.amebaki membe,kinana na makamba mzee.je katika hawa who is next?
Chadema watamuunga mkono nani?maana ni wazi sasa wanaachwa ukiwa na mashujaa njaa wao.ni bora kunyamaza au kuunga mkono juhudi.
Bi mdashi punguza kidooogo sauti.....hasa hilo neno la mwanzo.hahahaMaamaee,.hao wote vioo-ngozi hamna kitu..