Nape Nnauye kama January Makamba, maji ya shingo yamfika. Amuangukia Rais Magufuli baada ya kumnanga

bado watoto wadogo, wana njaa, hawana strategy nyingine zozote za maisha zaidi ya vyeo vya CCM

njaa mbele principle inafuata

Nyerere aliweka principle mbele njaa nyuma

akaacha kazi akaenda kuishi na watoto kwenye ki ramshackle hut Mwembechai Magomeni bila ajira

akawa anashinda njaa Mwananyamala kwa Mwinjuma na Gerezani Kariakoo na ma ustaadhi maskini wenzie wasio na mbele wala nyuma, kupigania maslahi mapana zaidi kuliko njaa binafsi

wako watu wachache sana dizaini hizo huku Afrika
 
Kuanzia kesho nitaanza kuwa nasoma Magazeti ya Musiba kila siku. Nimeamini yanatoa taarifa makini na za kweli. Nilimpuuza sana alipokuwa anawasema vibaya Rolel model wang Kiongozi mkuu wa chama mh. Zitto Ruyagwa Zuberi Kabwe, mh. Tundu Lissu na Membe et al. Kuona kwamba yale yote aliyokuwa akiyasema kuhusu Kina Nape na Anko ni kweli, inanifanya niamini yote anayoyaandika au kuyasema Msiba ni kweli.
 
Leo nape kadhalilishwa sana duh.vyeo hivo tabu.tatizo nape, january Na wenzake walizoea kubebwa huko ccm Na hawajui maisha ya uraiani.wanahofia kunyang'anywa tonge mwakani.
 
Mbona ameshukia mbali na makaz ya Rais akaanza kutembea kwa miguu? Uku tunaonaga wageni wengine wanashushwa mbaka karibia na ngazi za kuingia ndani ikulu.
Lengo kudhalilishwa kwanza, shida ya hawa watoto wa vigogo walizoea kubebwa. .
 
Wako baadhi ya wanasiasa wanacheza mchezo wa kisiasa kama unaangalia zile seasons za kikorea....Huwa naziangalia sana zile movie za kikorea...zinafundisha mambo mengi sana kwenye maisha ya kisiasa kuhusu Uaminifu, fitina, unafiki, uzalendo, mikakati, majungu, ushujaa/ujasiri, ubinafsi, uoneu, ubabe, ulimbukeni, ukabila, ufisadi, wizi, ukweli halisi, utaifa na kadhalika.

Kabisa lakini jicho la tatu linaniambia kwamba inapaswa mkulu afanye maamuzi magumu 2020 hawa awatose kabisa kwenye ramani ya siasa la sivyo fundo la moyoni analijua mwenyewe. Na mtu badiliko haliji pupa tu. Mtazame nape anapoongea bado ana kitu moyoni
 
"Ndugu wakigombana Chukua Jembe Ukalime" Wahenga katika misemo Yao walikua na akili nyingi.

Hii iwe Funzo kwa wapenzi na washabiki wa CHADEMA ambao kutwa kuchwa walikua hawaishi kushabikia hekaya za WanaCCM.

CCM inapofika suala la Maslahi Yao huacha yote na kurudi kwenye Maslahi ya chama Chao.
Ni Ni kwa vyama vyote, nimekumbuka swala la mbunge wa ubungo kubenea Na wa moshi kom kuomba radhi chadema. Nape kaomba kwa jpm badala ya chama dah
 
Screenshot_20190910-192525.png
 
Kitendo cha Nape kuomba msamaha hakuna mslahi kwa taifa zaidi ya chama chake Na yeye binafsi.wanasiasa muda mwingi wanaongozwa Na maslahi binafsi...
Hiyo ni nature ya binadamu wote mkuu ndio sababu ukomunisti ulifeli. Cha ajabu waasisi wa ukomunisti nao walikua wanatafuta maslahi binafsi
 
Back
Top Bottom